Tetesi: Wenje kujitoa Chadema kabla ya kufukuzwa

Tetesi: Wenje kujitoa Chadema kabla ya kufukuzwa

Ume
"....kachanganyikiwa! Hivi anapigia simu watu wake kule CCM mfululizo. Mkubwa mmoja kamshauli aondoke kabla ya kushughulikiwa ili eti kulinda heshima yake. Kaahidiwa mapokezi makubwa siku ya Ziara ya Rais Samia hivi karibuni atakapo kwenda kuzindua ile Meli mpya."

Duru.
a
Zile ni kampeni tuu.
Sio ugomvi ndio maana walikua wanacheka na kufurahi . Lakini pia Lisu ni chaguo la wananchi wengi . Lisu amegombea na kuleta mwamko mkubwa sana ndani na nje ya chama . Kwa sasa ni kubadilishana ili Mafisadi waende CCM na wazalendo kama Mpina waje Chadema .

Kupanga ni kuchagua ili mwisho iwe ni siasa safi na uongozi bora dhidi ya ufisadi na uchu wa madaraka .
Umeanza vzr mwisho umeharibu sana Mpina ni mzalendo Wich kind of uzalendo alionao kuwa nje ya mfumo uliopo na kulopoka lopoka hovyo unamjua Mpina wewe
 
Ume

a

Umeanza vzr mwisho umeharibu sana Mpina ni mzalendo Wich kind of uzalendo alionao kuwa nje ya mfumo uliopo na kulopoka lopoka hovyo unamjua Mpina wewe


Tunawataka watu wanaohubiri uzalendo mara kwa mara hata ili kujenga jamii yenye utamaduni wa kukataa ufisadi .

Kuna shule ya Serikali wazazi waliitwa kwa sababu wa watoto wao walipomaliza Form 4 we alivunja taa za umeme na kuvunja mabomba ya maji na vioo vya shule siku ya kuondoka .
Hebu fikiri watoto wanaosomeshwa bure na serikali shule ya bweni hawathamini mali ya umma . Hawajui wanaipa hasara serikali na mwisho inashindwa kutoa ajira kwao wenyewe.

Yote ni kwa sababu hatuna wanasiasa wa chama tawala anaohubiri habari ya uadilifu zaidi ya pesa na kula kila mmoja kwa urefu wa kamba yake huku wakifanya starehe na fedha za umma.

Mpina kipindi cha Magufuli alisimamia sheria kama inavyotaka watu wakamuona ni mnoko lakini ndivyo sheria inavyotaka .
JPM amekufa ameacha nchi ikiwa kwenye uchumi wa kati lakini baada ya kifo chake hazina ikasafishwa maana hapakuwa mmiliki wa nchi na serikali yote ilikua iko wazi . Ghafla nchi ikasafushwa watu wakaibuka mabilonea kupitia kodi za wananchi .
Wakawakamua wananchi kwa kiwango kikubwa sana ,tozo ,kikokotoo, umeme juu ,maji juu ,matibabu juu ,bidhaa juu, Bandari piga mnada ,misitu piga mnada , Madini na ardhi piga mnada , Nauli za mabasi na dladala juu.Mikopo kila mahali Ili kufidia ufisadi wa watu wanaotafuta starehe kupitia mali za umma .
Sawa pesa zikapatikana matumizi yake yakoje , ? Safari za nje na wasanii na lundo la waandishi wa habari, mabango ya mitano tena nchi nzima ,pikipiki za kampeni nchi nzima , Land Cruiser GXR kwa maelfu .
Hospitalini wagonjwa wa figo wanaambiwa wakauze nyumba waje walipie mashine ya kusafishia damu iliyonunuliwa kwa kodi za watanzania .
Tunataaliwa watu au Mavampire?
 
Ume

a

Umeanza vzr mwisho umeharibu sana Mpina ni mzalendo Wich kind of uzalendo alionao kuwa nje ya mfumo uliopo na kulopoka lopoka hovyo unamjua Mpina wewe
Ukidiriki kusema kweli bila uoga siku hizi unaitwa mlopokaji, hata Lissu aliitwa mlopokaji lakini ndio amekuwa kipenzi cha wengi. Acha Mpina akajiunge na walopokaji wenzake
 
Tunawataka watu wanaohubiri uzalendo mara kwa mara hata ili kujenga jamii yenye utamaduni wa kukataa ufisadi .

Kuna shule ya Serikali wazazi waliitwa kwa sababu wa watoto wao walipomaliza Form 4 we alivunja taa za umeme na kuvunja mabomba ya maji na vioo vya shule siku ya kuondoka .
Hebu fikiri watoto wanaosomeshwa bure na serikali shule ya bweni hawathamini mali ya umma . Hawajui wanaipa hasara serikali na mwisho inashindwa kutoa ajira kwao wenyewe.

Yote ni kwa sababu hatuna wanasiasa wa chama tawala anaohubiri habari ya uadilifu zaidi ya pesa na kula kila mmoja kwa urefu wa kamba yake huku wakifanya starehe na fedha za umma.

Mpina kipindi cha Magufuli alisimamia sheria kama inavyotaka watu wakamuona ni mnoko lakini ndivyo sheria inavyotaka .
JPM amekufa ameacha nchi ikiwa kwenye uchumi wa kati lakini baada ya kifo chake hazina ikasafishwa maana hapakuwa mmiliki wa nchi na serikali yote ilikua iko wazi . Ghafla nchi ikasafushwa watu wakaibuka mabilonea kupitia kodi za wananchi .
Wakawakamua wananchi kwa kiwango kikubwa sana ,tozo ,kikokotoo, umeme juu ,maji juu ,matibabu juu ,bidhaa juu, Bandari piga mnada ,misitu piga mnada , Madini na ardhi piga mnada , Nauli za mabasi na dladala juu.Mikopo kila mahali Ili kufidia ufisadi wa watu wanaotafuta starehe kupitia mali za umma .
Sawa pesa zikapatikana matumizi yake yakoje , ? Safari za nje na wasanii na lundo la waandishi wa habari, mabango ya mitano tena nchi nzima ,pikipiki za kampeni nchi nzima , Land Cruiser GXR kwa maelfu .
Hospitalini wagonjwa wa figo wanaambiwa wakauze nyumba waje walipie mashine ya kusafishia damu iliyonunuliwa kwa kodi za watanzania .
Tunataaliwa watu au Mavampire?
Ulipomuingiza mwendakuzimu muuaji ukaharibu kila kitu nikashindwa hata kuendelea sijui ulimaliziaje mwisho
 
".... Kaahidiwa mapokezi makubwa siku ya Ziara ya Rais Samia hivi karibuni atakapo kwenda kuzindua ile Meli mpya."

Duru.
Sasa hayo yatakuwa ni mapokezi ya rais au ya Wenje?
Wenje alikuwa ni mtu wa maana kwa CCM akiwndani ya CHADEMA, nje ya CHADEMA hata Abdul hatawepokea tena simu za Wenje na huenda Abdul akajitokeza hadharani kukana kumfahamu wala kuwahi kuonana na Wenje
 
Awahi haraka waumgane na kina mdee kwenye mapokezi kule shamba la bibi kiziwi
 
"....kachanganyikiwa!"

"...hivi anapigia simu watu wake kule CCM mfululizo. Mkubwa mmoja kamshauli aondoke kabla ya kushughulikiwa ili eti kulinda heshima yake. Kaahidiwa mapokezi makubwa siku ya Ziara ya Rais Samia hivi karibuni atakapo kwenda kuzindua ile Meli mpya."

Duru.
Waovu hukimbia pasipokufukuzwa
 
Yeye atulie tuu hiyo ndo democrasia, Democracy haihitaji hasira.Uchaguzi umeshapita sasa ni kazi tuu.Sasa hivi ni wamoja.
 
"....kachanganyikiwa!"

"...hivi anapigia simu watu wake kule CCM mfululizo. Mkubwa mmoja kamshauli aondoke kabla ya kushughulikiwa ili eti kulinda heshima yake. Kaahidiwa mapokezi makubwa siku ya Ziara ya Rais Samia hivi karibuni atakapo kwenda kuzindua ile Meli mpya."

Duru.
Aende kwa Abdul, "akalipiwe " Kila kitu, na, shida zake zooote za nyuma zitatuliwa!
 
Huyu aondoke tu na mashavu yake ya kuvimbiwa rushwa
 
"....kachanganyikiwa!"

"...hivi anapigia simu watu wake kule CCM mfululizo. Mkubwa mmoja kamshauli aondoke kabla ya kushughulikiwa ili eti kulinda heshima yake. Kaahidiwa mapokezi makubwa siku ya Ziara ya Rais Samia hivi karibuni atakapo kwenda kuzindua ile Meli mpya."

Duru.
Hakuna kukimbia chama by Yericko Nyerere
 
"....kachanganyikiwa!"

"...hivi anapigia simu watu wake kule CCM mfululizo. Mkubwa mmoja kamshauli aondoke kabla ya kushughulikiwa ili eti kulinda heshima yake. Kaahidiwa mapokezi makubwa siku ya Ziara ya Rais Samia hivi karibuni atakapo kwenda kuzindua ile Meli mpya."

Duru.
Hapo ndipo Watanzania tulipofikia.
Maslahi ya kisisasa yanazidi vipaumbele vyote vya nchi
 
"....kachanganyikiwa!"

"...hivi anapigia simu watu wake kule CCM mfululizo. Mkubwa mmoja kamshauli aondoke kabla ya kushughulikiwa ili eti kulinda heshima yake. Kaahidiwa mapokezi makubwa siku ya Ziara ya Rais Samia hivi karibuni atakapo kwenda kuzindua ile Meli mpya."

Duru.

Ukivimbiwa mashuzi meengi ndio dawa inayoponya Mwacheni aende
 
Back
Top Bottom