Tetesi: Wenje kujitoa Chadema kabla ya kufukuzwa

Tetesi: Wenje kujitoa Chadema kabla ya kufukuzwa

Akiondoka itajulikana kuwa alikuwa na hila, bora akabaki ndani ya chama ili awe mwanachama mtiifu.
Bora aondoke akiendelea kukaa itakuwa inalikisha mipango yote, kama ameshaonekana kirusi kwanini aendele?
 
"....kachanganyikiwa!"

"...hivi anapigia simu watu wake kule CCM mfululizo. Mkubwa mmoja kamshauli aondoke kabla ya kushughulikiwa ili eti kulinda heshima yake. Kaahidiwa mapokezi makubwa siku ya Ziara ya Rais Samia hivi karibuni atakapo kwenda kuzindua ile Meli mpya."

Duru.
Aende tu ni mla rushwa CCM ndiyo mahali pake
 
CHangamoto aliyokuwa nayo msigwa wkt huu ni kubwa sn, pote kwa sasa haaminiki isipokuwa nafuu yake kidogo ni kurudi alipotoka. Kwa nn?

Kwasababu adui mkubwa wa ccm kwa sasa ni mwenyekiti wa chadema ambaye msigwa ni rafiki yake na anamkubali na pia alimpigia chapuo ashinde uenyekiti sasa u can imagine how msigwa yupo kwenye bad spot.

Ccm hawakutaka hata kidogo lisu awe mwenyekiti wa chadema fikiria mtu waliyejaribu kumuua kwa kumpiga risasi nyingi mwilini, kumnyima matibabu na kumletea kila aina ya shida duniani leo yupo hai na ameshinda uchaguzi ktk mazingira magumu kama yale unafikiri viongozi wa ccm watataka kuona miongoni mwa makada wao wana urafiki wa karibu na lisu?

Kimsingi tangu lisu alipochaguliwa kuwa mwenekiti wa chadema na msigwa alishatengwa ccm, atawekewa ma shushu, simu yake itawekewa vinasa sauti na hata aminiwa tena hata afanyeje ndani ya ccm, hatakuwa na raha tena ndani ya ccm na akiendelea kuwa huko stress, na hata kupelekea stroke vitamkuta huko.

Ni wkt sahihi kwa msigwa kutakari kwa sasa ni nini cha kufanya wkt huu. Anazo option tatu achague moja

Kwanza anaweza kustaafu siasa akajiweka pembeni na masuala yote ya siasa, atafute mfumo mwingine wa maisha wa kumuingizia kipato.

Pili arudi alipotoka atubu kwamba alikosea ni jazba tu na moja mbili tatu kwakuwa bado lisu ni rafiki yake atapokelewa japo kaheshima fulani alichokuwa nacho kabla ya kuhama kitashuka,

Tatu abaki huko huko na ya mkute mabaya kwakuwa mchumia janga hula na wakwao
 
Ukidiriki kusema kweli bila uoga siku hizi unaitwa mlopokaji, hata Lissu aliitwa mlopokaji lakini ndio amekuwa kipenzi cha wengi. Acha Mpina akajiunge na walopokaji wenzake
Mpina ana double standards.Ni vijitu vya ovyo ukimsikia Mbunge Mweshimiwa Msukuma.
Mpina alikuwa anatengeneza tatizo,kwa maslahi yake binafsi.Ni mroho,pakashume.
Ana pima samaki kwa rula ili usipompa rushwa akunyaganye samaki wako.
Anachoma nyavu zenye vibali vya TBS hadi akauwa biashara ya samaki.
Lakini Magufuli alikuja mgundua kuwa ni kimeo akamvua uwaziri.
 
Wenje atulie......asiwe kama msigwa....kukimbia ni sawa na kujinyea......comradely criticism is better than a kiss from an enemy.
 
Ina maana hukusikia hotuba ya Lissu na Mbowe baada ya uchaguzi kumalizika?
 
Hajawahi kuwa na impact kubwa kwenye siasa za upinzani! Hana ushawishi wowote na hata Kura alizopata ilikua ushawishi wa Mbowe...Average politician
 
"....kachanganyikiwa!"

"...hivi anapigia simu watu wake kule CCM mfululizo. Mkubwa mmoja kamshauli aondoke kabla ya kushughulikiwa ili eti kulinda heshima yake. Kaahidiwa mapokezi makubwa siku ya Ziara ya Rais Samia hivi karibuni atakapo kwenda kuzindua ile Meli mpya."

Duru.
Mambo yanaenda kas na kuharibika kwa haraka sana. Wenje alijiona ameshakuwa Makamu Mwenyekiti kabla Heche hajaibuka kutoka alipokuwa.
 
Wenjeee 🚮🚮🚮🚮🚮

IMG-20241231-WA0068.jpg
IMG-20241231-WA0076.jpg
 
Back
Top Bottom