Tetesi: Wenje kujitoa Chadema kabla ya kufukuzwa

Tetesi: Wenje kujitoa Chadema kabla ya kufukuzwa

Msigwa kakabwa koo na kukatwa ulimi kule mbogamboga, nayeye aende akaumbe mapambio
 
Hata akisamehewa bado atajisikia vibaya kwa dhambi aliyofanya!
Mwache aende kusugua mabenchi ya Lumumba na Msigwa!
 
Zile ni kampeni tuu.
Sio ugomvi ndio maana walikua wanacheka na kufurahi . Lakini pia Lisu ni chaguo la wananchi wengi . Lisu amegombea na kuleta mwamko mkubwa sana ndani na nje ya chama . Kwa sasa ni kubadilishana ili Mafisadi waende CCM na wazalendo kama Mpina waje Chadema .

Kupanga ni kuchagua ili mwisho iwe ni siasa safi na uongozi bora dhidi ya ufisadi na uchu wa madaraka .
vijana wengi humu jamiiforums hamna kitu kichwani ushabiki umewatawala sasa akibaki atafukuzwa ni bora akajifukuza mwenyewe.kingine wafuasi wa mbowe watabaki na visas moyoni dhidi ya lissu na wafuasi wake itakua kama wafuasi wa lowassa dhidi ya wafuasi wa jk had leo wana chuki kwa jk mfano waziri wa shamba anaonesha chuki hadharani dhidi ya jk
 
Ume

a

Umeanza vzr mwisho umeharibu sana Mpina ni mzalendo Wich kind of uzalendo alionao kuwa nje ya mfumo uliopo na kulopoka lopoka hovyo unamjua Mpina wewe
Umeongea vizuri, ccm huanzisha migogoro ili kupata mtu wa kwenda vyama vya upinzani kuvibomoa, ilikua kwa lowasa ,safari hii hata aje nani lazima kuscan uyo mtu kabla ya kuingia kamati kuu na wala sio lazima kuwa kamati kuu , japo inategemea na mazingira
 
Mchungaji Msigwa japo wanasema alionewa , sawa ,vita unapigana ukiwa ndani sio nje , utulivu wa akili nao wahitajika katika nyakati ngum, kuna mda sisi wangaizaji unajikuta huna kitu mfukon, then mambo yanakua sawa.

Mchungaji msigwa alipo enda ,haikua sahii bora angeenda CHAUMA , why enda ccm ?

Wenda Msigwa alikua na haki kwa umma kwa kile alifanyiwa ila sio kwenda ccm .

Msigwa toka ccm haraka kabla sijakufuata na viboko juu, huko sio size yako .

Mbaya sasa wenda umeisha lishwa viapo vya ajabu ,kutoka unataka ila unatokaje, hapo ndo changamoto
 
Hata akisamehewa bado atajisikia vibaya kwa dhambi aliyofanya!
Mwache aende kusugua mabenchi ya Lumumba na Msigwa!
Msigwa atarudi Chadema maana CCM itashindwa vibaya sana . Na ilishinda kishetani haitadumu itakutana na kisasi cha Mungu maana walikufuru kwa kusema kuwa ushindi kwao ni lazima na sio mapenzi ya Mungu .
Ushindi wa Lisu ni dalili mbaya sana kwa Wachawi na CCM na waovu na mafisadi wote . Hofu imewajaa sana mawakala wa mafisadi .

Ni vizuri Kila nchi iwe na Rais wake mmoja tu sio marais wawili wanakaa kijiji kimoja na kutoka familia moja kwa wakati mmoja huo ni Usultani na ufalme haufai maana waliamua kupeleka nchi wanakotaka wataharibu mwelekeo wa nchi bila kuwa na wakuwauliza .

Kuna mtu mmoja ni Rais wa Burudi na anapata heshima zote kama rais wa Burundi lakini pia kuna mtu mmoja hapo hapo Burundi ni Rais wa Kongo na anaishi Burundi . Kongo anaenda tu kutawala na kurudi Burundi . Yaani wakistaafu wote wawili wataishi Burundi kama marais wastaafu wakiwa ni warundi . Jambo la kushangaza sana Kongo itakua haina Rais mstaafu.

Kifupi ni kwamba mtu mmoja kutoka kwenye nchi yenye Rais ,katiba yake na vyombo vya usalama akiacha nchi hiyo kwenda kutawala nchi nyingine ni Uvamizi .Tena mbaya zaidi ni kuwa anatumia vyombo vya dola kuingia madarakani na sio kura za wananchi basi huo ni uvamizi wa kijeshi na mapinduzi yaliyopewa jina la muwa ngano .😂😂😂😂😂
 
CHADEMA bado ni moja ya vyama imara,akiondoka mtu,wanaingia watu
CCM Hoyeeeeeee
 
"....kachanganyikiwa!"

"...hivi anapigia simu watu wake kule CCM mfululizo. Mkubwa mmoja kamshauli aondoke kabla ya kushughulikiwa ili eti kulinda heshima yake. Kaahidiwa mapokezi makubwa siku ya Ziara ya Rais Samia hivi karibuni atakapo kwenda kuzindua ile Meli mpya."

Duru.
Kwa mtifuano uliokuwepo ni ngumu kuendelea kubaki. Acha afanye maamuzi ambayo ni sahihi kwake
 
Mchungaji Msigwa japo wanasema alionewa , sawa ,vita unapigana ukiwa ndani sio nje , utulivu wa akili nao wahitajika katika nyakati ngum, kuna mda sisi wangaizaji unajikuta huna kitu mfukon, then mambo yanakua sawa.

Mchungaji msigwa alipo enda ,haikua sahii bora angeenda CHAUMA , why enda ccm ?

Wenda Msigwa alikua na haki kwa umma kwa kile alifanyiwa ila sio kwenda ccm .

Msigwa toka ccm haraka kabla sijakufuata na viboko juu, huko sio size yako .

Mbaya sasa wenda umeisha lishwa viapo vya ajabu ,kutoka unataka ila unatokaje, hapo ndo changamoto
Msigwa ameshindwa uchaguzi, hakuna kitu kibaya alichofanyiwa.

Mbowe ameshindwa uchaguzi amekubali matokeo, Msigwa ameshindwa uchaguzi amesusa na kuanza kuitukana Chadema na amehamia ccm, sasa arudi Chadema kufuata nini? Mbowe ni mjumbe wa kudumu wa kamati kuu.
 
Kwa mtifuano uliokuwepo ni ngumu kuendelea kubaki. Acha afanye maamuzi ambayo ni sahihi kwake
Humu JF wengi siyo wazima kichwani, Wenje ni mwenyekiti wa kanda na ni mjumbe wa kamati kuu, ni mtu nyeti kwenye safu ya Chadema.
 
Msigwa ameshindwa uchaguzi, hakuna kitu kibaya alichofanyiwa.

Mbowe ameshindwa uchaguzi amekubali matokeo, Msigwa ameshindwa uchaguzi amesusa na kuanza kuitukana Chadema na amehamia ccm, sasa arudi Chadema kufuata nini? Mbowe ni mjumbe wa kudumu wa kamati kuu.
Pungunza kamdomo mkuu, moyo wa mtu kichaka, ulitaka aje kwako akueleze yote? Lema kasema Msigwa kaonewa ,je wewe upo na majibu kuliko watu wake wa karibu na Msigwa.

Mie mtu wa haki kuna kipindi nilimpiga spana Msigwa ,ili wenda kuna jambo ,shida inabaki kwa nini kwenda ccm katika nchi yenye vyama kibao
 
Pungunza kamdomo mkuu, moyo wa mtu kichaka, ulitaka aje kwako akueleze yote? Lema kasema Msigwa kaonewa ,je wewe upo na majibu kuliko watu wake wa karibu na Msigwa.

Mie mtu wa haki kuna kipindi nilimpiga spana Msigwa ,ili wenda kuna jambo ,shida inabaki kwa nini kwenda ccm katika nchi yenye vyama kibao
Tueleze hapa Msigwa ameonewa nini? Ameibiwa kura?
 
"....kachanganyikiwa!"

"...hivi anapigia simu watu wake kule CCM mfululizo. Mkubwa mmoja kamshauli aondoke kabla ya kushughulikiwa ili eti kulinda heshima yake. Kaahidiwa mapokezi makubwa siku ya Ziara ya Rais Samia hivi karibuni atakapo kwenda kuzindua ile Meli mpya."

Duru.
Picha yake mkuu tumuone
 
Back
Top Bottom