comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 9,019
- 6,825
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenje namfahamu ni tapeli huyoTapeli hata ukimwangalia usoni unamjua tu wenje ni moja ya matapeli hao
Mkuu,tunampenda Lissu, lakini tunataka aweke tuhuma zake dhidi ya Wenje na Abduli mtoto wa Mama straight.Tapeli hata ukimwangalia usoni unamjua tu wenje ni moja ya matapeli hao
Kwani humjui nani muongo?Kuna ushahidi wa e-mail utawekwa kwenye kampeni za Uenyekiti. Pia alimzulia Mbowe kapewa gari 2 na Serikali kumbe Mbowe kanunua kwenye mnada na ushahidi upo.Safari hii msema ovyo ataumbuka tu.Mkuu,tunampenda Lissu lakini tunataka aweke tuhuma zake dhidi ya Wenje na Abduli mtoto wa Mama straight.
Lissu kama alivyosema hapo awali kuwa Abduli alitaka amhonge ili yeye Lissu apunguze maneno makali dhidi ya Mama Abduli.
Sasa kati ya hawa Viongozi wawili mmoja anasema uongo tumjue ni nani?
Tatizo kusema ukweli hakuitwi kuropoka.Kuropoka ni kubwatuka usilo na uhakika nalo na kuharibu heshima za watu.Mkuu,tunampenda Lissu, lakini tunataka aweke tuhuma zake dhidi ya Wenje na Abduli mtoto wa Mama straight.
Lissu kama alivyosema hapo awali kuwa Abduli alitaka amhonge ili yeye Lissu apunguze maneno makali dhidi ya Mama Abduli.
Sasa kati ya hawa Viongozi wawili mmoja wao anasema uongo tinataka tumjue ni nani?.
Watu wanasema Lissu anaropoka kuropoka hakuna ubaya wowote kama uliyoyaropoka ya yana ukweli.
Kuropoka huko ndiko kunakotakiwa.
Simjui ni nani anasema uongo, na nani anamzushia mwenzake kusema uongo,, hii issue ya magari nimeisikia kwa Wenje jana YouTube.Kwani humjui nani muongo
Hawa wahuni sijui kwamba watakuja kuambulia hata kiti kimoja cha ubunge. Waliaminisha watu kama ni watetezi wa wananchi kumbe wahuni watupu. Kwenye hicho tokea hili sekeseke nimeona kulikuwa na mtu mmoja tu ambaye ni TAL, wengine ni wale ambao wahenga walisema kikulacho kinguoni mwako. Mh Lisu aliishi na virusi bila yeye kuwatambuaChadema, kuna njia gani tena mtaibuni ili kuendelea kutupumbaza wafuasi wenu kwamba, Chama hiki siyo mali ya Mbowe kwa maslahi ya Wakaskazini?
Aliomba msamaha mbele ya Kamati Kuu kuhusu ishu ya magari sio jambo la siri. Kuropoka bila ushahidi ni hulka ya Lisu.Uongo mwingine ni Serikali ya nusu mkate Mbowe amesema Lisu kasema uongo.Atokeze akanushe.Simjui ni nani anasema uongo na nani anamzushia mwenzake kusema uongo hii issue ya magari nimeisikia kwa Wenje jana YouTube.
Siwezi kumhukumu yeyote mpaka tumsikilize na Lissu atasemaje kuhusu hizo tuhuma.
Hiyo hulka hata Magufuli alikuwa nayo.Aliomba msamaha mbele ya Kamati Kuu kuhusu ishu ya magari sio jambo la siri. Kuropoka bila ushahidi ni hulka ya Lisu.Uongo mwingine ni Serikali ya nusu mkate Mbowe amesema Lisu kasema uongo.Atokeze akanushe.
Na huyo ndio unamuunga mkono?Hiyo hulka hata Magufuli alikuwa nayo.
Huenda kuna matatizo kwenye sources za Lissu huenda pia Magufuli alikuwa akipotoshwa kwa makusudi kabisa lakini hawa ni Viongozi wazuri.Na huyo ndio unamuunga mkono?
Tafakari.
Huyu bora angekaa kimya kabisa....tunajua pesa alizopewaTapeli hata ukimwangalia usoni unamjua tu wenje ni moja ya matapeli hao