Atakataa pesa za Abdul na mama yakeTumkimpa chama au nchi itakuwaje ?.
Kwani Mbowe Alivyotajwa na makonda kwenye list ya wauza unga alikuwa muuza unga? Wenje ni Dalali kama wewe ukivyokuwa Dalali wa madeni hewa na ulishiriki kumshambulia Lisu kwa kumtengenezea madeni hewa Kama yale mbowe huyatumia kujilipa pesa ya chama kienyeji, mmezoea kutengeneza madeni hewa hakuna asiyewajuaLisu ni tapeli, ametapeli wengi sana fedha hata kabla ya marisasi
Tuwe tunatumia akili kidogo, duniani kote hakuna sheria inayoruhusu mtu kusikiliza simu ya mtu mwingine sasa ndugu slaa kasema kasikiliza simu ya raisi ,huyo si wa kumuonea hurumaMbowe sasa ni mwimba Taarabu na mipasho kawa mzee wa masimango chadema Mbowe imevurugwa , kumbuka mbowe hakuzoea haya ya sasa alizoea kupita bila kupingwa chaguzi zote, sasa wamepelekeshwa na Lisu wamebakia kutapatapa na kuunda vikundi vya uchakachuaji kuiba kura kuidhoofisha kambi ya lisu kuwabambikia kesi akina Slaa
Wewe unanyea nini? πΌKamtoe mropokaji slaa jela ananyea ndoo
Mliandikishana wapi?Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Victoria ndugu Ezekiel Wenje amesema alimkopesha makamu Mwenyekiti wa Chadema shilingi million 10 anamdai
Source: One on One tv
Baadae Mlale unono ππ₯
Mbowe katengeneza mazingira slaa akatwe kipindi hiki ili apate kuihujumu kambi ya lisu kiwepesiTuwe tunatumia akili kidogo, duniani kote hakuna sheria inayoruhusu mtu kusikiliza simu ya mtu mwingine sasa ndugu slaa kasema kasikiliza simu ya raisi ,huyo si wa kumuonea huruma
Hili jambo likienda kwa court atathibitisha?Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Victoria ndugu Ezekiel Wenje amesema alimkopesha makamu Mwenyekiti wa Chadema shilingi million 10 anamdai
Source: One on One tv
Baadae Mlale unono ππ₯
Maria atampliaMwenyekiti wa Chadema Kanda ya Victoria ndugu Ezekiel Wenje amesema alimkopesha makamu Mwenyekiti wa Chadema shilingi million 10 anamdai
Source: One on One tv
Baadae Mlale unono ππ₯
Mbona unatetemeka? πMaria atamplia
Team Mwamba hawana jipya.Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Victoria ndugu Ezekiel Wenje amesema alimkopesha makamu Mwenyekiti wa Chadema shilingi million 10 anamdai
Source: One on One tv
Baadae Mlale unono ππ₯
Uyo dula aliwapata wote, kwani lisu sindio alimpa documents!!, alikuwa anajua anampanani na kwadhumunigani ikiwa huyo abduli hana nafasi yoyote serikalini.Ama kweli Heri nguo kuraruka kuliko akili .
Hawa Jamaa na Mbowe wake kwann wanatanguliza Vitu na Mali ?.
Kumbe ndio maana ABDUL ilikua rahisi kwake kumpata Mbowe na Wenje.
Watu wanaouza utu wΓ o Kwa vipande vya Fedha .
Basi Hela yenyewe ingekua ya halali, ni Hela za kuhongwa na Akina Abdul
Mbona alishawahi kufundisha shule ya sekondari thaqafa somo la uraia civics.Grade A
Huu ni mpumbavu. Inaonekana Jamaa wa timu Mbowe wamepaniki vibaya sana. Mipango waliyopanga gizani ilivyowekwa hadharani tu, wakaanza kuchanganyikiwa. Sass hivi wamekuwa kama wachawi ambao uchawi wao umegundulika, hivyo wamepata ukichaa wa muda.Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Victoria ndugu Ezekiel Wenje amesema alimkopesha makamu Mwenyekiti wa Chadema shilingi million 10 anamdai
Source: One on One tv
Baadae Mlale unono ππ₯