Labda wamsome hapa huyo FXTM Forex Time | FXTM Forex Brokers Reviews | Forex Peace ArmyMm nshamaliza chief,km una maslahi na fxtm pole yako,sipo kubishana nna mambo muhimu,nilitaka tu kutahadharisha watu khs huyu broker haijalishi nimeiva au lah,guys nendeni google type fxtm reviews,utapata yote khs huyu broker tapeli,usiseme hukuonywa.
Labda wamsome hapa huyo FXTM Forex Time | FXTM Forex Brokers Reviews | Forex Peace Army
Hakuna kitu cha bure duniani lazima ulipie, pia huko kijiandikisha, mpaka ujiandikishe kuna masharti na ni lazima itajisajili kwao na watakukamua tu kufidia hiyo bure yao
NishakukaririNitajisajili,nitahudhuria Nkishindwa Usajili Ntakufata Pm Rutunga,hapa Na Mlimani Bodaboda Buku,nitafunga Mihogo Ya Kukaanga Na Maji,siti Ya Mbele Elimu Haina Mwisho Nikapate Mwanga,mengine Nitajiongeza Nauhakika Hawatonipiga Kwa Sasa Maana Nataka Kujifunza Nitrade Baadae Si Sasahivi,ahsante Kwa Hili Ila Naomba Tusiambiwe Tuchangie Hata Hela Ya Maji Maana Sitoweza,nakuja Na Maji Yangu Ya Masafi Lita 1 na nusu
Mkuu haipo chini ya kina Ontario?jamani ni bure. mimi naawalika maana mimi natumia huyu broker waivyonijulisha juu ya hii semina bure na mimi nimewajulisha nyinyi kwa roho safi.
Kama una swali unaweza kumtumia email huyu Sophie.Taku@fxtm.com simu +44 20 3734 1025
Watu walishatapeliwa sana kwa sasa wanataka mambo ya wazi nk.
Jisajiri hapo==>>Register now
Aisee huko chini sijusoma,Hili limewekwa wazi kwenye email walizo tuma
Wameweka wazi Day 1 free, then iwapo utahitaji kuendelea na semina ya siku tatu LAZIMA u_deposit USD200 kwenye trading account yoko utakayofungua kwao.
Mkuu hii semina ni kwa ambao tayari wanajua forex au hata ambao hawana hii elim?Tunaongelea ELIMU chief. Hakuna broker utakayempata yuko 100% perfect never. Wengi wao karibu wote ni market maker number moja. wanapata faida ama kwa commision,ukiuunguza nk.. thats why wakati wa news wanavuta spreed kama nyoka...Kikubwa watz tunahitaji elimu kubwa kuhusu forex..tusibeze elimu kama hizi tena za bure
Amekwambia kwa dk 30 sio kwa siku, alafu bila news yeyote...Duu mkuu pips 1000? hakuna pair inayotembea hizo pips kwa siku. Ingawa ni kweli hizo pair zina volatility kubwa sana.
[emoji38][emoji38][emoji38] ndo mana nikamwambia hata kwa siku tu haiwezekani.Amekwambia kwa dk 30 sio kwa siku, alafu bila news yeyote...
Huyu jamaa ana kamba sana
Mshamba ni wewe unaeamini kila linalojibiwa basi halina kosa.Acha ushamba ndg.hiyo ni forum kama jamiiforums ambapo kila mtu anaingia na kuweka malalamiko yake nk. ukisoma mle utaona hawa FXTM wanajibu kila lalamiko na wengi wao ni waliounguza account. Tangu uanze kufanya FOREX uliwahi kukutana na broker yeyote ana kwa ana? au mnakutanaga na mentors ambao kimsingi ndiyo wanaifanya FOREX iwe scam nk...Pia umeambiwa hakuna aliyekwambia utumie FXTM bali uhudhurie semina upate shule kisha tumia unayemtaka hata kama ni BOT.
Mbona wabongo mnakuwa hivyo lakini? hapa ukiambiwa wahi show ya mobeto kwa dollar 20 unalipia fasta. hapa umeambiwa ufike upate ELIMU FREE. Hakuna anayekufunga kama kutumia jp market,templer,xm,ticmil au fxtm ..ni wewe baada ya kusoma na kuelewa hii businness.
-------
UPDATES MAY 1,2018:
Training hii ni ya bure lakini lazima uwe umejisajiri kwa maana ya SIGN UP kama member wa FXTM ambapo kujisajiri siyo lazima uwatumie.(Wtz tuelewe msingi mkubwa wa forex ni kupata elimu,baadaye wewe utachagua broker yupi mzuri utumie.) ukisign up utapata ID no ambayo ndiyo utatumia kuingia kwa ukumbi lakini hata kama hujui utaelekezwa siku hiyo LAKINI ni vema uka SIGN UP na kupata ID no kama picha hapo juu. Siyo lazima uwe APPROVED.kikubwa ni kupata ID KAMA INAVYOONESHWA KATIKA POST YA KWANZA
KUJISAJIRI BONYEZA HAPA
Hawa jamaa matapeli tuMshamba ni wewe unaeamini kila linalojibiwa basi halina kosa.
Hata Mahakamani watuhumiwa hua wanajibu mashtaka yao lakini mwisho wa siku hukutwa na makosa,
Wacha kukariri
Nafuu umeona Mkuu wangu,Hawa jamaa matapeli tu
Ova
Na wao waje wawekeze kwenye Sekta Yetu ile waone real money .....Nafuu umeona Mkuu wangu,
Jamaa mleta mada anakuambia eti kwa kua FXTM wanajibu kila malalamiko basi wako innocent, sijui logic ya wapi hii