General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,064
Poa, ila mleta mada kaandika milmna, na kuna jamaa kamkosoa mtu hapo juu kuwa si mliman bali milman ndo nikachanganyikiwaMkuu acha ubishi mimi nipo kwenye training... Ni mlimani city chukua guta uje
Ok ni bahati mbaya , mimi nipo ukumbini muda huu.. Uliza mlinzi yeyote atakuoneshaPoa, ila mleta mada kaandika milmna, na kuna jamaa kamkosoa mtu hapo juu kuwa si mliman bali milman ndo nikachanganyikiwa
Tatizo hapo siku ya kwanza ni free kwa siku nyingine you need to deposit around 200 kwa account kwa wewe kuendelea na training....Mkuu mimi nipo kwenye training muda huu mfukoni nina shilingi 5600 tu.
Nimekuja kuongeza maarifa tu.
Mkuu mimi nipo kwenye forex muda kidogo. Siwezi kuingizwa mkenge kijinga jinga.Tatizo hapo siku ya kwanza ni free kwa siku nyingine you need to deposit around 200 kwa account kwa wewe kuendelea na training....
Vipi kwa mtu ambaye anaanza je siku moja hiyo itakuwa na msaada kwake kweli???
Nimekuelewa vyema mkuu....Mkuu mimi nipo kwenye forex muda kidogo. Siwezi kuingizwa mkenge kijinga jinga.
Nikuhakikishie siku moja au mwezi mmoja hautoshi kumaster forex. YES. Tupo hapa kuongeza maarifa na ujuzi. Mimi kikubwa ni kuja kuongeza network na wadau na maarifa pia.
Forex ni endless learning process
Tutajie hao brokersHili ndio kubwa la kuzingatia, wengi wanachagua broker kwa kufuata upepo na sio kwa kufanya utafit yakinifu, eti tumia broker fulani kisa waweza deposit kwa mpesa!!, kuna vitu vya ziada vya kuzingatia ikiwa ni pamoja na regulator wa kueleweka.
Nimechagua broker wangu watatu
- USA based mmoja na
- UK/Australia base - wawili.
Hawa broker wananiwezesha kutrade hata zile pair ambazo wengine wanazikimbia sababu ya spread kubwa ila kwa hawa brokers still spread bado ni ndogo, Na nzuri zaidi account zote ni ECN zenye commission ndogo.
Nipo dimban kaka, ila nimekosa siti aiseeMkuu mimi nipo kwenye forex muda kidogo. Siwezi kuingizwa mkenge kijinga jinga.
Nikuhakikishie siku moja au mwezi mmoja hautoshi kumaster forex. YES. Tupo hapa kuongeza maarifa na ujuzi. Mimi kikubwa ni kuja kuongeza network na wadau na maarifa pia.
Forex ni endless learning process
Pole sana mkuu, mimi.nipo ndani mbele kabisa.Nipo dimban kaka, ila nimekosa siti aisee
Nishapata siti kakaPole sana mkuu, mimi.nipo ndani mbele kabisa.
Nawasikiliza hawa watu
Pamoja piga somoNishapata siti kaka
Hujachelewa mkuuHii taarifa ndo naiona leo. Hakika nimefeli. Alafu nipo hapa hapa mlimani na fxtm ndo broker ninayemtumia
Kuna darassa lenye motivational speakers lisilokuwa murua?? Dont be mind freaked broDarasa muruaaView attachment 766375
Nani kasema murua ya darasa limetokana na motivational speakers?Kuna darassa lenye motivational speakers lisilokuwa murua?? Dont be mind freaked bro
nimeshakuona Nasubiri Nkuone Umeingia Jf NkusalimNishakukariri
samahani kama nimekusababishia maumivu siku nyingine itakuwa slow but sure vilainishi vitahusika😀Nani kasema murua ya darasa limetokana na motivational speakers?
Usipende kuparamiaparamia kaka
Samahan mkuu naweza pata majina ya hao brokers? Hata kwa pm kama hutojali.Hili ndio kubwa la kuzingatia, wengi wanachagua broker kwa kufuata upepo na sio kwa kufanya utafit yakinifu, eti tumia broker fulani kisa waweza deposit kwa mpesa!!, kuna vitu vya ziada vya kuzingatia ikiwa ni pamoja na regulator wa kueleweka.
Nimechagua broker wangu watatu
- USA based mmoja na
- UK/Australia base - wawili.
Hawa broker wananiwezesha kutrade hata zile pair ambazo wengine wanazikimbia sababu ya spread kubwa ila kwa hawa brokers still spread bado ni ndogo, Na nzuri zaidi account zote ni ECN zenye commission ndogo.