Wenye FOREX kutua nchini wiki hii, Semina Bure jiandikishe

Wenye FOREX kutua nchini wiki hii, Semina Bure jiandikishe

Mkuu acha ubishi mimi nipo kwenye training... Ni mlimani city chukua guta uje
Poa, ila mleta mada kaandika milmna, na kuna jamaa kamkosoa mtu hapo juu kuwa si mliman bali milman ndo nikachanganyikiwa
 
Mkuu mimi nipo kwenye training muda huu mfukoni nina shilingi 5600 tu.


Nimekuja kuongeza maarifa tu.
Tatizo hapo siku ya kwanza ni free kwa siku nyingine you need to deposit around 200 kwa account kwa wewe kuendelea na training....

Vipi kwa mtu ambaye anaanza je siku moja hiyo itakuwa na msaada kwake kweli???
 
Tatizo hapo siku ya kwanza ni free kwa siku nyingine you need to deposit around 200 kwa account kwa wewe kuendelea na training....

Vipi kwa mtu ambaye anaanza je siku moja hiyo itakuwa na msaada kwake kweli???
Mkuu mimi nipo kwenye forex muda kidogo. Siwezi kuingizwa mkenge kijinga jinga.


Nikuhakikishie siku moja au mwezi mmoja hautoshi kumaster forex. YES. Tupo hapa kuongeza maarifa na ujuzi. Mimi kikubwa ni kuja kuongeza network na wadau na maarifa pia.



Forex ni endless learning process
 
Mkuu mimi nipo kwenye forex muda kidogo. Siwezi kuingizwa mkenge kijinga jinga.


Nikuhakikishie siku moja au mwezi mmoja hautoshi kumaster forex. YES. Tupo hapa kuongeza maarifa na ujuzi. Mimi kikubwa ni kuja kuongeza network na wadau na maarifa pia.



Forex ni endless learning process
Nimekuelewa vyema mkuu....
 
Hili ndio kubwa la kuzingatia, wengi wanachagua broker kwa kufuata upepo na sio kwa kufanya utafit yakinifu, eti tumia broker fulani kisa waweza deposit kwa mpesa!!, kuna vitu vya ziada vya kuzingatia ikiwa ni pamoja na regulator wa kueleweka.

Nimechagua broker wangu watatu
- USA based mmoja na
- UK/Australia base - wawili.

Hawa broker wananiwezesha kutrade hata zile pair ambazo wengine wanazikimbia sababu ya spread kubwa ila kwa hawa brokers still spread bado ni ndogo, Na nzuri zaidi account zote ni ECN zenye commission ndogo.
Tutajie hao brokers
 
Mkuu mimi nipo kwenye forex muda kidogo. Siwezi kuingizwa mkenge kijinga jinga.


Nikuhakikishie siku moja au mwezi mmoja hautoshi kumaster forex. YES. Tupo hapa kuongeza maarifa na ujuzi. Mimi kikubwa ni kuja kuongeza network na wadau na maarifa pia.



Forex ni endless learning process
Nipo dimban kaka, ila nimekosa siti aisee
 
Darasa muruaa
IMG_20180505_110824.jpg
 
Nani kasema murua ya darasa limetokana na motivational speakers?

Usipende kuparamiaparamia kaka
samahani kama nimekusababishia maumivu siku nyingine itakuwa slow but sure vilainishi vitahusika😀
 
Hili ndio kubwa la kuzingatia, wengi wanachagua broker kwa kufuata upepo na sio kwa kufanya utafit yakinifu, eti tumia broker fulani kisa waweza deposit kwa mpesa!!, kuna vitu vya ziada vya kuzingatia ikiwa ni pamoja na regulator wa kueleweka.

Nimechagua broker wangu watatu
- USA based mmoja na
- UK/Australia base - wawili.

Hawa broker wananiwezesha kutrade hata zile pair ambazo wengine wanazikimbia sababu ya spread kubwa ila kwa hawa brokers still spread bado ni ndogo, Na nzuri zaidi account zote ni ECN zenye commission ndogo.
Samahan mkuu naweza pata majina ya hao brokers? Hata kwa pm kama hutojali.
 
Anaye anzisha hicho kitu ni broker na mwisho wa siku atakuambia ufingue akaunti kwake!!

Kama unataka kuenda hii kwann hukuenda ya tmt?? Huon kama ni kitu kimoja?

Hope umefika na hukulipa kitu.
 
Back
Top Bottom