Doto Dotto
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 3,906
- 2,902
Yaaani!!!!...weee acha tuu.. siku ya leo nina furaha isiyo kifani. nimefurahi sana tena sanaaaaa... Dr Magufuli kuwa rais wetu wa awamu ya tano. kama una furaha km mimi mwaga hapa hisia zako plz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unifikii. Ila napata shida bado kuelewe wenzetu waliotutukana matusi yote, wanajisikiaje? Mbaya zaidi kilichoandikwa hakifutiki hata moderator wafute haitasaidia. Hii ni aibu kwa taifa kuwa kizazi cha vijana wajinga, wapumbavu na malofa kama hawa wa sasa.
Oyooooooooooooooooooooooo
Rais wetu Magufuli. Uwiiiiiiii... Rahaaaaaaa
Nafukua kaburi vipi wenzangu tuliofurahia ushindi kwa vifijo na vigelegele, twajionaje na hali?
Vipi nakusalimia tu[emoji125] [emoji125] [emoji125]Ni sheeeeeeeeeeeeeda