Wenye furaha baada ya Dr Magufuli kutangazwa kuwa rais tukutane hapa

Wenye furaha baada ya Dr Magufuli kutangazwa kuwa rais tukutane hapa

Doto Dotto

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2015
Posts
3,906
Reaction score
2,902
Yaaani!!!!...weee acha tuu.. siku ya leo nina furaha isiyo kifani. nimefurahi sana tena sanaaaaa... Dr Magufuli kuwa rais wetu wa awamu ya tano. kama una furaha km mimi mwaga hapa hisia zako plz
 
Unifikii. Ila napata shida bado kuelewe wenzetu waliotutukana matusi yote, wanajisikiaje? Mbaya zaidi kilichoandikwa hakifutiki hata moderator wafute haitasaidia. Hii ni aibu kwa taifa kuwa kizazi cha vijana wajinga, wapumbavu na malofa kama hawa wa sasa.
 
Unifikii. Ila napata shida bado kuelewe wenzetu waliotutukana matusi yote, wanajisikiaje? Mbaya zaidi kilichoandikwa hakifutiki hata moderator wafute haitasaidia. Hii ni aibu kwa taifa kuwa kizazi cha vijana wajinga, wapumbavu na malofa kama hawa wa sasa.

Tumewanyoooosha kudadadeki!!!! zao
 
Rahaaaaaaaaaaaaaa...... utamuuuuuuuuuuuuuu .....
Raha tena utamu raha utamu raha utamuuuuuuu
 
Oyooooooooooooooooooooooo
 

Attachments

  • 1446148419408.jpg
    1446148419408.jpg
    23.6 KB · Views: 78
Mimi hata njaa sisikii tena kwa furaha.

Sijui niviache tu hivi viroba?

Aaaah, potelea pote.
 
Back
Top Bottom