Wenye hela benki kuweni makini na akaunti zenu

Lihakanga

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2016
Posts
4,823
Reaction score
6,416
Niliwahi kuandika juu ya wakala wa NMB aliyekuwa ana double transactions bila ridhaa ya mteja. Alipiga wateja wanne kama 20m hivi. NMB hawakuchukua hatua dhidi ya wakala huyo.

Leo ninaandika tena kusisitiza kuwa wenye hela benki kuweni makini na akaunti zenu. Hawa jamaa ni wapigaji.

Wanaweza kutoa hela kwenye akaunti yako bila wewe kujua.

Leo ninaongea kuna jamaa yangu kanipa kisa hiki.
 
Fafanua kiongozi
Ni akaunti ninayotumia kila siku, baada ya kuweka kiasi kingi Cha fedha zilipita siku kadhaa nikarudi benki nitoe mzigo, wananiambia akaunti ipo dormant Mara imezidiwa inabidi ...

Wananiambia tunakupa form ujaze tuiupdate aisee ku update walifyeka pesa, uhuni mwingi Sana Tena wananiambia utaruhusiwa kutoa baada ya siku 3, siku ilipofika nilikwenda kukwangua zote na kuhamishia ndani.
 
crdb niliwahi thibitishwa kuwa nimetoa hela toka kwa wakala lakini kiukweli sikutoa hela siku hiyoooo... japo ilikuwa ndogo!
Hata mie iliwahi nikutaa hii, tena ilikua 70k sisahau kamwee.
Yaan sijui wanafanyaje hata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…