Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]Wengi wenye ma line mengi wala hawana kazi yoyote ni basi tu kutuchosha
Kabisa!Kama una shida hata namba 100 utazipiga
Kwanini haupokei namba ngeni?KUWA KAMA MIMI, NAPOKEA NAMBA NILIYO KUSAVE.
KINYUME NA HAPO ENDELEA KUPIGA KADRI UTAKAVYO WEZA(HII INATEGEMANA NA KAZI YAKO)
Kuna watu wa ajabu! Yeye akishapoteza line hana muda wa kurenew kabisa. Anachofanya ni kumtafuta wakala fasta asajili mpya. Yaani kwa kifupi hana cha kupoteza akipoteza mawasiliano yake.Nawale mabingwa wa kubadilisha line. Unapiga unaambiwa haipo kumbe alishabadilisha line, hovyo kabisa.
Watoto ndo wenye muda na huo ujinga.Sasa ukiwa na line zote hizo mtu anakutafuta vipi, au mtu atajuaje saizi upo mtandao gani.? Na je kila ukihama mtandao ina maana na watu wote unawaambia sasa nimehamia airtel au unawaacha kule voda?
1gb ndo full data? Kuna watu wana line 1 ila ina zaidi ya 30gb na dk600 za mitandao yote.View attachment 2060976
Dont ask me why!
Line 2 zote za Tigo.
....
line 1 ina Data za kufa mtu
line 2 naijaza Dakika!
View attachment 2060976
View attachment 2060979
line ya pili.. FULL DATA KWA WIKI 2.
View attachment 2060982
Hii yote inasababishwa na umaskini na sio utotoWatoto ndo wenye muda na huo ujinga.
Mtu mwenye akili timamu hawezi kuwa na line 5.
tatizo sasa hivi namba mpya wanazotoa tigo airtel na voda, hata huwezi jua ni mtandao gani." Unasemaje sijakupigia, kwani hukuona namba ya tiGO imeku miss call..?"