Wenye "madingi" wakali tukutane hapa


mkuu wa
Raphael wa Ureno naomba kumtunuku mzee wako vyeo vyake
 
Asee unenigusa penyewe[emoji106]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Dah. Nimecheka sana. Mungu awarehemu madingi wote waliotangulia.
 
nakumbuka mwaka 2001, kaka angu alikuwa anachezea kiberiti. basi akaenda kuchoma bafu, mzee alipo rudi alimfunga miguu akamning'iniza miguu juu, alichezea stiki vibaya mno.
 
Mtoa mada ushawah kufungiwa kwnye kibanda cha mbwa.....tena sio wa kipolepole????
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu malizia mm nikiwa na miaka saba nimelala nje mno mno, kosa umefanya asubuhi anajifanya hajui subiri aende kunywa akirudi usiku saa nne au sita ujue kipigo na kulala nje nimelala mno kwa majirani, anajari mifugo kuliko binadamu ole wake akute mifugo yake ina njaa ujue hapo ni msala mkubwa km kuna mtu amefariki,
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hi I Kali nimecheka balaa
 
(RIP mzee)....
Huyu natamani hata kuona picha yake
 
[emoji23] [emoji23] uwiii nimecheka sn
Aisee
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] lol
 
[emoji23] [emoji23] [emoji87] [emoji87] kwny kenchi mpk asubuhi[emoji15]
 
Kabisa maneno mabaya,makali...ema vile tu tunatakiwa kusamehe la sivyo sijui kwakweli
 
Siku moja mimi na dogo tulirudi saa mbili na nusu hivi na hiyo ilikuwa 1999, akatuuliza kama tumeswali swala ya ishaa, tukamwambia ndio. akatuuliza kaswalisha nani na amesoma sura gani?? kudaadeki akatubana. aiseee tulikula kichapo mpaka leo sikisahau, alitufunga kamba za katani na kututandika nyaya za umeme ajabu, kipindi hicho tunaishi Pemba kwenye nyumba za serikali na ni ghorofani sasa, kutoka mbio tulishindwa halafu alivyokuwa mkaksi, alimfungia bi mother mlango kwa nje kwanza ili asije kuamua ugovi. Siisahau iile siku, but we a re who we are because of him otherwise tungekuwa ganja mtu sasa hiv. Akili yangu kipindi kile ilikuwa inaniambia dingi anatuchukia but now I understand he was/is the best dad ever in this world. Thank you papaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…