kwakua alinifichia buti [emoji23]asee unabahati sana kwa jinsi ulivyokua kiazi kwetu labda ungehama hahahahhahaha kuna watoto wa mwalimu hapa walikunywa grand malta ya mama yao wakatia maji nimewafananisha na wewe ulivyowasha sigara pa kuvutia ....hivi ulikua unawaza nini
Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
kwa kweli nimecheka sana leo na watu wangu wa karibu kwa vituko vyakokwakua alinifichia buti [emoji23]
Mwaka 99, enzi hizo simu ya mezani, alikuja mgeni akaomba simu apige hapo simu inakaa chumbani, nikamwambia dingi mgeni anaomba simu, dingi akaguna tu nikajua kakubali nikatoa simu mgeni kaongea alivoondoka mweh!!!!
Nlichezea kichapo heavy yani mvua ya stiki..... Apumzike kwa amani mdingi
Pamoja na kujifanya umezimia bado akakumalizia na buti ha ha haKibishi tu sasa hivi nikimtazama huwa naona kama Bro wangu hana noma, Mara ya Mwisho ananipiga ilikuwa niko Darasa la nne, alikuwa yupo safarini ila asubuhi aliniita chumbani akanipa majukumu ya kufanya, Nimeamka tu nikaenda kusakata kabumbu nikijidai Maradona hadi saa 12 jioni ndipo Maradona anarudi nyumbani akamkuta baba yake kafika hakuna kazi yeyote iliyotendeka.
Kipigo cha Kufa Mbwa kikamhusu Maradona, Kilichoniokoa niliona nikiendelea kulia na kupiga kelele nitakufa kwa ngumi na makofi ya Baba yake Maradona basi Nikajidai nimezima anapiga sitikisiki wala kugeuka kapiga kama dakika 1 kashituka, akajua Maradona Kafariki, alikuwa na buti moja chini limeandikwa Base akanikanyaga nalo duh maumivu yale yalimtoa chini Maradona akasepa mwendo wa Kimondo kuelekea kusikojulikana.
Tangu Siku hiyo hakunipiga tena.
aiseee nina shida na wewe bibie
πππππNan bibie ebooo
tena afanye haraka kwa babu zakeMiaka 5 unafanya nini humu? Pumbavuu...!! Piga magoti apo!
wewe kijana nitakufa na kicheko na uzee huuWakubwa hawana wazazi?
[emoji15] [emoji15] [emoji15] , why?Apart from other things, my father is a main reason why i hate Men.
long story.[emoji15] [emoji15] [emoji15] , why?
Duuh walikutesaa sanaa mzee mpaka useme kauli nzito hivyo..!?? umeshindwaa hata kusameheeLeo ni miaka 57 imepita dingi kafariki kaniacha Nina miaka saba tu sasa shuruba na mateso niliyoyapata kwa walezi wangu siwezi kusimulia huwa nalia nikikumbuka binadamu wabaya sana ni wazuri tukiwa tumelala kwenye makaburi tu
Duuh..!! Itakuwa alikuwa anamtes sana mazaa nini maana...Apart from other things, my father is a main reason why i hate Men.
wew ndio mzee wako mkali kuliko wote East Africa!! huyo mzee nimempenda!![emoji23] [emoji23] [emoji87] [emoji87] kwny kenchi mpk asubuhi[emoji15]
Hahahahhahahah! kitambo sana hiyo mamboπππππ
Hii convo yenu imenikumbusha wachezaji wa mpira kwenye gazeti la bongo (bush stars na wale wa town)