Wenye "madingi" wakali tukutane hapa

Una jina zuri,,
Natamani kuja DM.


Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Hahahahaa
 
Mmenikumbusha Bi. Mkubwa Mama Karim, aieee ukifanya kosa bora uende ukalale polisi.


Bibi mkubwa alikuwa ananipiga kinoma sio kwamba alinionea, hapana kuna makosa nilikuwa natafanya huku nikujua kabisa hili ni kosa.


Mzee wangu alikuwa hana noma, ili Mama Karim akikiwasha ndio balaa hata akina Donnie Yen, Jet Lee sijui akina John Cena wakasome.


Bi mkubwa alikuwa anapiga sio mchezo, yaani mpaka leo nimekuwa mtoto mwema.








R.I.P Mama
 
[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji23][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji3][emoji16]
 
[emoji16][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
[emoji16][emoji16][emoji2][emoji2][emoji2][emoji16]
 
Kama nakuona ulivyoaibika mbele ya mchumba..🤣
 
[emoji23][emoji23][emoji23] wazaramo waliipata fresh
 
Huyu jamaa hua nafikiria atakua sio mzazi wangu kweki maana He treat me like an orphan, regarding bado nipo kwenye age ya kutegemea msaada wake asilimia 80
Pole, na ndio maana umekuwa introvert, kifupi wewe si INTROVERT ila ni malezi yamefanya uwe hivyo. You need a serious psychological treatment!
 
[emoji23][emoji23][emoji23]pole tu, ila nawe ulikua cha utundu
 
Reactions: Lee
Yaani mimi natamani hata leo nikutane na mzazi anafanya ujinga wa namna hii kwa mtoto, halafu watu watashangaa nitakavyonunua kesi hiyo, huyo mzazi atachoka na hatarudia tena. Upumbavu wa hali ya juu sana huu
AAAAH WAPI!! HUNA UWEZO HUO MMAKUWA WEWE.! MMAKUWA WEWE!!
 
Mkuu mzee wako ni kama wangu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] eti baada ya salamu yataanza mausia yatakayosababisha kufokewa mpaka vocha iishe[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
alikugeuza ndama .....
[emoji2][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28][emoji28]yaani hivi nashangaa sana siye mdingi hakuaga hvyo hata robo kiukweli sijui ingekuaje na utundu wote wa kwenda mabwawa saba kucheza,kukimbilia midundikoo na kwenda umbali mrefu kucheza rede!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…