there you are...!
USHAHIDI NAMBA MBILI:
2-rozi mwenyewe alinifuata kwa muda wake na kuomba NIMSAIDIE ROYA KAZI
:tea: wakati wa gahawa.
na wewe ni shahidi wangu pia.....!Usiogope mamaa Roze, sisi watakatifu hatuna maneno mengi.
waache dig dig waruke ruke tu!
haa we mwanaume wewe acha urongo wako
unataka tu mi niwe nanyimwa lift ya kuja jj basi..stak mie!!!!!!
Usiogope mamaa Roze, sisi watakatifu hatuna maneno mengi.
waache dig dig waruke ruke tu!
KAIKUBALI!....Ulipomsaidia, Rozi aliionaje KAZI YAKO? Hapa napeleleza ishu ya Kisukari.....
na wewe ni shahidi wangu pia.....!
KAIKUBALI!....
KAIKUBALI MKUU!
hivi ninavyokwambia hapa nina miadi nae KINGSTAA EXECUTIVE LODGE!
both.Unahofia kupewa lifti tu na au YATOKANAYO na lifti yenyewe?
hahaha!Huyo sio wa kuamini kabisa hatabiriki
The Following 2 Users Say Thank You to The Finest For This Useful Post:VITHIBITISHO NINAVYO PIA
The Following User Says Thank You to Bigirita For This Useful Post:
The Finest (Today)
USHAHIDI NAMBA TANO:
hapa nina barua ya roya YA SHUKRANI kwa kazi nzuri niliyoifanya ya KUMUWAKILISHA kwa rozi!.....
naweza kuiupload hapa KWA RUHUSA ZA WOTE WAWILI
USHAHIDI NAMBA TANO:
hapa nina barua ya roya YA SHUKRANI kwa kazi nzuri niliyoifanya ya KUMUWAKILISHA kwa rozi!.....
naweza kuiupload hapa KWA RUHUSA ZA WOTE WAWILI
both.
Manake haumwi ..sasa waza vzur km mtu haumwi inakuwaje ?
Angekuwa mgonjwa km teamo bas ningempotezea sas st ni mzima ...sina bud kuwa mdg...
babuuuuuuuuuuuuuuuuu...unapeleleza issue ya kisukari siyo????Ulipomsaidia, Rozi aliionaje KAZI YAKO? Hapa napeleleza ishu ya Kisukari.....
hommie hebu toa maelezo hapo kwenye RED:A S angry:both.
manake haumwi ..sasa waza vzur km mtu haumwi inakuwaje ?
angekuwa mgonjwa km teamo bas ningempotezea sas st ni MZIMA ...sina bud kuwa mdg...
niliambiwa pia ana presha