Wenye majina ya rose!

Wenye majina ya rose!

there you are...!

USHAHIDI NAMBA MBILI:
2-rozi mwenyewe alinifuata kwa muda wake na kuomba NIMSAIDIE ROYA KAZI

Ulipomsaidia, Rozi aliionaje KAZI YAKO? Hapa napeleleza ishu ya Kisukari.....
 
Ulipomsaidia, Rozi aliionaje KAZI YAKO? Hapa napeleleza ishu ya Kisukari.....
KAIKUBALI!....
KAIKUBALI MKUU!

hivi ninavyokwambia hapa nina miadi nae KINGSTAA EXECUTIVE LODGE!
 
KAIKUBALI!....
KAIKUBALI MKUU!

hivi ninavyokwambia hapa nina miadi nae KINGSTAA EXECUTIVE LODGE!

Ohooooo! Hapo Mi Chimo!!

UKIWA njiani unakuja nistue....babu atakuwa na kazi na JOSEFINA!
 
USHAHIDI NAMBA TANO:
hapa nina barua ya roya YA SHUKRANI kwa kazi nzuri niliyoifanya ya KUMUWAKILISHA kwa rozi!.....

naweza kuiupload hapa KWA RUHUSA ZA WOTE WAWILI
 
Unahofia kupewa lifti tu na au YATOKANAYO na lifti yenyewe?
both.
manake haumwi ..sasa waza vzur km mtu haumwi inakuwaje ?
angekuwa mgonjwa km teamo bas ningempotezea sas st ni MZIMA ...sina bud kuwa mdg...
 
USHAHIDI NAMBA TANO:
hapa nina barua ya roya YA SHUKRANI kwa kazi nzuri niliyoifanya ya KUMUWAKILISHA kwa rozi!.....

naweza kuiupload hapa KWA RUHUSA ZA WOTE WAWILI

Hiyo mpaka kesho tena. Roya kashaingia mitini, ukiwa ni ushahidi tosha kuwa KISUKARI NI UGONJWA HATARI.

BABU ODM big braza Asprin Amekonkludi biyondi rizonabo dauti!
 
USHAHIDI NAMBA TANO:
hapa nina barua ya roya YA SHUKRANI kwa kazi nzuri niliyoifanya ya KUMUWAKILISHA kwa rozi!.....

naweza kuiupload hapa KWA RUHUSA ZA WOTE WAWILI

ahh tyeamo janman we mchokoz mpk basi......dah nacheka apa mbavu sna!!!!!
ngoja nishauriane na baba ili tujue km tumwache mtoto dig dig ajifunze kuaplod vitu ama lahh..gve me a sec niende chumban nkazungumze na babayako...........i wl b bak ..endelea kunywa mirinda iyo seblen apo...
 
both.
manake haumwi ..sasa waza vzur km mtu haumwi inakuwaje ?
angekuwa mgonjwa km teamo bas ningempotezea sas st ni MZIMA ...sina bud kuwa mdg...
hommie hebu toa maelezo hapo kwenye RED:A S angry:
 
Back
Top Bottom