Wenye majina ya rose!

Wenye majina ya rose!

hahahaha kuna ka ukweli ndani yake........:tape:
 
Duuh hii kali lakini mie nadhani ni hulka ya mtu si jina
Nina wifi yangu anaitwa Rose nadhani kishaolewa mara 10 mpaka sasa na kwa hivi sasa hata sijui yuko wapi tena mwingine yeye ni migogoro kila siku , Lakini chanzo sidhani kama ni jina ni matabia tu.:nono::nono::nono:
Unajua nilikuwa sihamini ................lakini naosa sasa data zinaongezeka hapa ........du
 
kwa hiyo mnataka kukonkludi gani sasa kuhusu hayo majina ya ROSE?
 
kama ya ukweli vile..nimefanya mahesabu ya haraka haraka rose ninaowajua wote wana vi problem vya hapa na pale, kuiuhusiano na kwa hali halic ya kimaisha.
 
kama ya ukweli vile..nimefanya mahesabu ya haraka haraka rose ninaowajua wote wana vi problem vya hapa na pale, kuiuhusiano na kwa hali halic ya kimaisha.
kwa hiyo hapa tatizo ni nini hasa?....
ni hilo jina la ROSE?
 
Mmechambua makabila sasa mnaingia majina, sasa kama majina ya rose wanamatatizo, jiulize yule rose wa kichaga yeye atakuwaje maana kabila mcharuko na jina nalo mcharuko, yote haya nimepata humuhumu, cjafanya utafiti bali ni jf wenyewe
 
IVI NI JINA GAN AMBALO HALINA TATIZO?
ningeitwa jen nisingekuwa na tatizo?
ebu nipen jina la kimalaika jaman ambalo kwalo stakuwa na pbm
 
kwa hiyo hapa tatizo ni nini hasa?....
ni hilo jina la ROSE?

acha usukunuku wew
utasutwa
mwone vle ndo mana haukuona ukoo kwenye sinia...
ROSE IZ THE BEST NAME EVER...nambien jina gan halina tatizo mimi nikaitwe ilo?
 
Mmechambua makabila sasa mmeingia majina, sasa hebu pigapicha unae rose wa kichaga, Kabila Mcharuko, Jina nalo Mcharuko kazi lazima itakuwepo
 
Back
Top Bottom