Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahaha kuna ka ukweli ndani yake........:tape:
kuna mistaru hapo kwani?
Unajua nilikuwa sihamini ................lakini naosa sasa data zinaongezeka hapa ........duDuuh hii kali lakini mie nadhani ni hulka ya mtu si jina
Nina wifi yangu anaitwa Rose nadhani kishaolewa mara 10 mpaka sasa na kwa hivi sasa hata sijui yuko wapi tena mwingine yeye ni migogoro kila siku , Lakini chanzo sidhani kama ni jina ni matabia tu.:nono::nono::nono:
hahaha hapo dots tu no lines......Kuna mistari hapo kwani?
kwa hiyo mnataka kukonkludi gani sasa kuhusu hayo majina ya ROSE?
kwa hiyo hapa tatizo ni nini hasa?....kama ya ukweli vile..nimefanya mahesabu ya haraka haraka rose ninaowajua wote wana vi problem vya hapa na pale, kuiuhusiano na kwa hali halic ya kimaisha.
hapana!....ndio jina la wifi?
Unajua nilikuwa sihamini ................lakini naosa sasa data zinaongezeka hapa ........du
hahaha tatizo ni tabia za Ma Rose.....:tape:kwa hiyo hapa tatizo ni nini hasa?....
ni hilo jina la ROSE?
kwa hiyo hapa tatizo ni nini hasa?....
ni hilo jina la ROSE?
tabia za majina ya Rose?......hahaha tatizo ni tabia za Ma Rose.....:tape:
I tender to differ....!inavyoonekana coz naendelea kuongeza list yangu ya hilo jina bado utata ndio unazidi ngoja tu:tape:
IVI NI JINA GAN AMBALO HALINA TATIZO?
ningeitwa jen nisingekuwa na tatizo?
ebu nipen jina la kimalaika jaman ambalo kwalo stakuwa na pbm
kwa hiyo hapa tatizo ni nini hasa?....
ni hilo jina la ROSE?