Ndenji five
JF-Expert Member
- Nov 1, 2021
- 1,985
- 3,109
- Thread starter
-
- #21
Hapa na mkuu unakoongelea wewe ni Msumbiji mtepwez ila ninakoongelea mimi ni mpakani na ziwa nyasa huku ni amani kwanza huwezi mkuta mtu anaongea kireno ni kiswahili tu na huwezi mkuta mwanamsumbiji kule zaidi ya hao wamiliki wa hayo maeneo ambao na wao wamewekeza tz songea na mbinga kwahiyo akikuletea zake unafika nchini kwako unamuhalibiaHivi wale wahuni waliotikisa kibiti hadi JeiWii wakaingilia kati niliskia walikimbilia msumbiji. Nyie tangulieni tu wanangu. Mie sina mpango wa kufa hivi karibuni tena kwa kuuwawa kikatili. Hapana acha nile hela za muhindi tu kwa amani.[emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu kwahio we million 2 inaingia kila siku hapa tunavyoongea?Hapa na mkuu unakoongelea wewe ni Msumbiji mtepwez ila ninakoongelea mimi ni mpakani na ziwa nyasa huku ni amani kwanza huwezi mkuta mtu anaongea kireno ni kiswahili tu na huwezi mkuta mwanamsumbiji kule zaidi ya hao wamiliki wa hayo maeneo ambao na wao wamewekeza tz songea na mbinga kwahiyo akikuletea zake unafika nchini kwako unamuhalibia
Sio kila siku Mkuu yaani ukisha weza mpaka kufikia hatua unaanza pata haya mawe mwendo utakuwa kama ifuatavyo utaanza kupata mawe yenye gram 10 kwa kadili sampuli zako zinavyokwenda ndio itazid kupanda mwisho wa siku itaanza kupungua tena inamaana inawezekana ukawa unakula hiyo pesa kwenye huo mgodi ndani ya miezi miwili au mitatu mingine hadi sita hadi mwaka kutokana na miamba na hizo sampuli zinavyoendaMkuu kwahio we million 2 inaingia kila siku hapa tunavyoongea?
Kwa mtz mpenda kubet hiyi haweziEhe...furusa hizo
Hakuna barabara ya kupita gari ss tunafikaje huko kwa miguu aumaana machimbo yalipo hadi ufike Msumbiji yenyewe ufanye kaz kidogo coz hakuna usafiri wa kwenda huko kutokea hapo machimbo na hakuna barabara ya maana ya kusema itapita gari kubwa ni mwendo wa milima
Usafiri mkubwa ni pkpk na zile tdi zile gari za wa misheni sio kusema polin sana mana hapo mpakan kuna umeme wa gridi ya taifa toka huku kwetu kiujumla pamechangamkaHakuna barabara ya kupita gari ss tunafikaje huko kwa miguu au
Ukiweza kuwekeza kubali na hasara, mkono mtupu haurambwi, yaani mi nikupe dili hata buku ya vocha usinitoe labda mi ni kaka yako nazan umeelewaUkiona unaitwa kwenye fursa ujue……?[emoji28]
Kama pesa mnayo karibuni maana kuna jamaa zenu wapo huku piaMaeneo gani huko msumbiji?fursa popote nijuze niwashitue jamaa zangu wa geita tuje huko.
#MaendeleoHayanaChama
Asante kwa kwa kushukuru kesho nitawaletea Chimbo za ruby na wale wakutaka kuwekeza kwenye makaa ya maweMkuu asante kwa kushare fursa hii.
Nikiwaambia asilimia 30 mngezingua ni kweli asilimia 3 hata upate mifuko miambili kwa siku yake mitatu tu hivyo tu mkuuMkuu kwahiyo mifuko mitatu Kati ya 10 hiyo ni asilimia 3 kweli au unataka kutupima uelewa wetu
Hahaha sio mbili mkuu ni tatuMkuu kwahio we million 2 inaingia kila siku hapa tunavyoongea?
KaziaNakazia. Mtaji wako wa sh milioni 2 utakupa faida ya sh milioni 3 mpaka 4 kwa siku. Halafu ulie tena umaskini.
Unapita Dar PoriniNi mpakani na ukanda wa ziwa nyasa ila hauvuki ziwa kuna barabara inaingia hadi huko huko kwa kupitia wilaya ya mbinga hata watu wa upande huo mahitaji yao yote wanachukulia mbinga/ruvuma , maana machimbo yalipo hadi ufike Msumbiji yenyewe ufanye kaz kidogo coz hakuna usafiri wa kwenda huko kutokea hapo machimbo na hakuna barabara ya maana ya kusema itapita gari kubwa ni mwendo wa milima
Mzee twende Mgodi umetema, ukiweka million 2 Kila siku unakunja 3m. Unajipa siku 100, unawapa Toyota Oda ya Land Cruiser series 200Hivi wale wahuni waliotikisa kibiti hadi JeiWii wakaingilia kati niliskia walikimbilia msumbiji. Nyie tangulieni tu wanangu. Mie sina mpango wa kufa hivi karibuni tena kwa kuuwawa kikatili. Hapana acha nile hela za muhindi tu kwa amani.😂😂😂