Wenye mtaji Njoo tuwekeze huku kwenye migodi ya dhahabu

Hiyo 5000 unayowapa ni hela ya kisumbiji au Tanzania?
 
Vip Kuna uchimbaji wa kutumia vipimo Kama GP na SDC nina io mashine izo naweza ingia uko???
 
Mtaalamu nilitegemea utanipa kampani twende wote tukaokote hela kumbe sina mtu kabisa hapa[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kuna jamaa alienda akarudi kwa miguu tena kwa bahati sana
 
Reactions: amu
[emoji23][emoji23]kama unajijua una mikosi usije kumuona mtoa mada mbaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…