Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miss you cute darling.... umepotea kweli😔Mrembo wa JF hujambo?
Nipoooo mrembo, mishe tu za hapa na pale, nimefurahi kukuonaMiss you cute darling.... umepotea kweli😔
Kama mtu yupo serious anataka kutoka bongo atabehave kama hayupo serious ndio atageuka omba omba huko kwenye mitandaoNi ngumu mbongo kujizuia ataanza nadaiwa kodi mara chakula
Asante sana... karibu mbeya kipenzNipoooo mrembo, mishe tu za hapa na pale, nimefurahi kukuona
Ukisoma vizuri inagusa kote mkuuNaona umewaandikia wanawake wenzako
Lakini wewe🤣Mrembo wa JF hujambo?
Hizo Mkuu zipo nyingi sana na ni rahisi mno kuzipata.Pia kwa mtu anayejua kuhusu hizi fadhili za masomo ya huko nje aweke hapa nataka nifahamu
USA je?Hizo Mkuu zipo nyingi sana na ni rahisi mno kuzipata.
Ulaya unaweza kuomba Commonwealth scholarships, Chevening scholarships, Erasmus, DAAD na zingine nyingi.
Hayo ndio maua yetu yanapendezesha macho yetu🤗😁Lakini wewe🤣
Ooh wow! Green city, ahsante kwa mualiko dear💕Asante sana... karibu mbeya kipenz
Hakuna ubaguzi labda ujibague mwenyewe, watu wapo busy kusaka dollar muda wa kukubagua wanautoa wapiUbaguzi katika nchi za ulaya na Marekani ni jambo nikiliwaza kila mara napata wakati mgumu,Maana kama watu weusi huku kwetu wanabaguana wenyewe kwa wenyewe,je huko ulaya ambapo huna ndugu itakuwaje? Bora bongo mara mia,kutembea Ulaya na kurudi sawa lakini siyo kuishi.
Tayari😂Ooh wow! Green city, ahsante kwa mualiko dear💕
😂😂 Bora ubaki bongoKwenda kufanya nini huko Marekani na Ulaya?