Wenye tabia za kichawi, acheni kuwanga

Mkuu hapo kwenye soda na nyama walikuwa wana roga ili msile?
Kwanini watu wa mikoani wachawi sana, Yani mtoto akilelewa mkoani ladhima ajue uchawi, tofauti na mtoto aliyezaliwa mjini mfano Dar.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Mashemeji Zangu nyie ni watu waajabu tumewaacha angalau mumfariji Mama wa rafiki yangu ambae ni mkwe wangu,,na nyie mkasepa alafu Unakuja kutangaza mitandaoni,,Rose unashida gani lakini??umeshindwa kabisa kutustiri Kwa hili??Umetufedhehesha mnoo Mimi na rafiki yako!!
 


Ilitokea Jimbo gani la Marekani? Maana hakika kama ni mipaka ya Tanzania lazima ingekuwa habari kubwa, umezidisha Tangawizi ila ladha ujaharibu sana.
 
Stori hii nimeisoma kwa umakini nakiri ni UONGO MTUPU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…