mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Unamjua dr kimario specialist wa ENTAliniambia hakuna tiba suluhisho ni kutumia earing device ambazo ni gharama na pia kuna risk ya kupelekea kuwa kiziwi kabisa
ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamjua dr kimario specialist wa ENTAliniambia hakuna tiba suluhisho ni kutumia earing device ambazo ni gharama na pia kuna risk ya kupelekea kuwa kiziwi kabisa
Duh.! Pole sana ndugu yanguSioni vizuru, sisikii vizuri, sauti haitoki vizuri na sitembei vizuri.
Hapana simjuiUnamjua dr kimario specialist wa ENT
ova
Aaante sana mkuu.. mapambno lazima yaendelee no matter whatPole sana mkuu...ila hongera pia kwa kufika hapo ulipo sasa.
Be yourself..
Bado uko na nafasi ya kuonyesha talent yako... Especially mavazi
Kama utaweza fungua duka zuri ukali promo mtandaoni still bado utaweza kuendesha maisha ya kila siku.
Ni kweli.. asante sanaUsikate tamaa .hicho tu
Naku pm # yake ni dr(specialist)Hapana simjui
Asante sanaDuh.! Pole sana ndugu yangu
KiuNmesoma naona ameambiwa anahitaji earing device,kiukweli ni gharama sana hiyo especially kwa watu kama sisi ikitokea kuimudu
Ova
[emoji25][emoji25][emoji25]Sioni vizuru, sisikii vizuri, sauti haitoki vizuri na sitembei vizuri.
Ila zinaharibu uwezo alionao sasa. Mimi nayafahamu hayo mambo tangu 2010. Dkt alinishauri niachane nazo hizo device.Nmesoma naona ameambiwa anahitaji earing device,kiukweli ni gharama sana hiyo especially kwa watu kama sisi ikitokea kuimudu
Ova
Wewe unasikia? Vizuri mkuuIla zinaharibu uwezo alionao sasa. Mimi nayafahamu hayo mambo tangu 2010. Dkt alinishauri niachane nazo hizo device.
Kwa hiyo ,ina maana ajaribu kuendelea na dawa tu siyo labda itamletea changes mbeleniMkuu izo hazitomsaidia kabisa hata iweje zile Zina range ...Kuna tofauti ya kutosikia na kutokuelewa
Kutosikia unapewa hizi device kama amplifier yaani hearing aid device zinawez kukusaidia kwa kiziwi(deaf).hawa wanakuwa na kitu za kutosikia hata kwa mbali hawasikii ndo izo device zinawez a kuwasaidia.
Tuje hao wasiolewa nahisi mtoa mada yupo humo iyo ishu inaweza kuwa kama tinittus ila sio mara zote yaani inaweza kuambatana na kelele mtu anaongea ila huelewi ukisiliza mziki unaweza kuflow na beats ila maneno husikii hapo hata utumie nn hyo hali haiweza kutoka kama unabisha wapo wazungu matatizo yanawasumbua na huu ugonjwa upo common kwa watu wazima sana kwani nervous system zimefeli kuwa na muunganiko na ubongo, ukitaka kujua hali iyo Inakuwa accompanied na vitu kama maumivu ya miguu kufa ganzi hata kiuno ...Ndo maana unapewa dawa za Neuro support kurecover nervous system ila kupona asilimia 5%
Kiu
Aise,pole dahIla zinaharibu uwezo alionao sasa. Mimi nayafahamu hayo mambo tangu 2010. Dkt alinishauri niachane nazo hizo device.
Bilateral mildWewe unasikia? Vizuri mkuu
Mkuu namshauri atembee na flow ya hayo matatizo...Zile dawa kutumia anaweza kutumia hata mwaka ila zitajenga sumu mwili na Zina Bei !!akubaliane na hali kawaida awe open ..Kwa hiyo,ina maana ajaribu kuendelea na dawa tu siyo labda itamletea changes mbeleni
Ova
Umesema sawa mkuu nikimsikiliza mtu akiongea kwenye simu au vyombo vya sauti yaani spika kutoka kwenye redio, tv au kompyuta ule ile sauti naisikia ila haiji katika mpangilio wa kuweza kuelewa mtu kasema nini ila tukiwa karibu tunaelewana shida mtu akiwa mbali, ana kigugumizi au sauti ikiwa inatoka kupitia spika mfano mic, simu, redio, tv, kompyuta n.k kuhusu maumivu ya kiuno, ganzi n.k izo dalili sinaMkuu izo hazitomsaidia kabisa hata iweje zile Zina range ...Kuna tofauti ya kutosikia na kutokuelewa
Kutosikia unapewa hizi device kama amplifier yaani hearing aid device zinawez kukusaidia kwa kiziwi(deaf).hawa wanakuwa na kitu za kutosikia hata kwa mbali hawasikii ndo izo device zinawez a kuwasaidia.
Tuje hao wasiolewa nahisi mtoa mada yupo humo iyo ishu inaweza kuwa kama tinittus ila sio mara zote yaani inaweza kuambatana na kelele mtu anaongea ila huelewi ukisiliza mziki unaweza kuflow na beats ila maneno husikii hapo hata utumie nn hyo hali haiweza kutoka kama unabisha wapo wazungu matatizo yanawasumbua na huu ugonjwa upo common kwa watu wazima sana kwani nervous system zimefeli kuwa na muunganiko na ubongo, ukitaka kujua hali iyo Inakuwa accompanied na vitu kama maumivu ya miguu kufa ganzi hata kiuno ...Ndo maana unapewa dawa za Neuro support kurecover nervous system ila kupona asilimia 5%
Kiu