Wenye uraibu "addiction" ya Soda, unawezaje au uliwezaje kukabiliana na hali hii?

Wenye uraibu "addiction" ya Soda, unawezaje au uliwezaje kukabiliana na hali hii?

Binadamu Mtakatifu

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2021
Posts
4,226
Reaction score
8,879
Duuh yani baadhi ya vitu ni ngumu kuamini kuwa kuviacha ni janga la koo na ulimi soda ni moja ya vinywaji pendwa kwa watu ila baadhi ya watu wanashindwa kujitambua kuwa imeadhiri mfumo wao wa akili

Binafsi naona hii kwangu ikitokea nimekua Addicted na kitu cha COCACOLA yani ukinipa hii soda moyo unasuuzika hata kreti nahisi namaliza ikiwa nimekaa muda hata sikumbili ili nijaribu kuachana na uraibu huu najikuta narudi na speed ya 4G kwa kutanguliza Mo Extra ya baridi ikifatia COCA najaribu kweli kupunguza kunywa ila wapi nikikaa muda mrefu ni siku 4 au 5 tu.

Je, wewe tatizo hili limewahi kukukuta tueleze umeliachaje na kuwa huru kama umeshindwa wajuzi wa mambo tupeni njia maana utumwa wa pesa yako mwenyewe ni unakera?

NIMEMALIZA
 
kuacha hadi kafara ndgu, na maombi lazma, wengi wameingia kutoka wameshindwa kama wapiga jerk
 
Kuna jamii wanatumia sana hizi vinywaji, wana chupa zenye ujazo wa 1.25l, asubuhi unakuta kila mtu analo hilo mkononi, joto linasoma 15 mpaka 20 of c.centigrade, na hakuna lolote, hakuna vitambi wala moyo kuuma.

Ila hawa ni wale wanaopata kipato cha wastani kushuka chini! Wanapiga pombe daily.

Wale wanaopata kuanzia wastani kwenda juu sasa, ndio wana vitambi na hayo magonjwa!
 
Back
Top Bottom