Wenye uraibu "addiction" ya Soda, unawezaje au uliwezaje kukabiliana na hali hii?

Wenye uraibu "addiction" ya Soda, unawezaje au uliwezaje kukabiliana na hali hii?

Kuna mtu aliniambia kuwa coca inatengenezwa na cocaine sijui kama nikweli
Hajakosea sana imgawa sio sahihi,
Zote ni product za mmea waitwa coke unalimwa sana america ya kusini hasa mexico na colombia,
Ingawa proccesing zao ma additive mpaka kuja kupata cocacola na cocaine ndio kuna utofauti
 
Mkuu hebu tupe elimu kidogo, Kwamba kisukari kinasababishwa na kunywa soda sana?
Ndio, soda
Mkuu hebu tupe elimu kidogo, Kwamba kisukari kinasababishwa na kunywa soda sana?
Soda ina sukari nying ambayo sio nzuri kwa afya, How much sugar is in my drink?
Kwenye hio link inaeleza kuwa mfano coca cola ina vijiko 16 kwa sukari.
Sasa ukinywa coca cola kila siku na hufanyi mazoezi, au una historia ya kisukari katika familia, kumbuka vyakula vingi tunavyokula navyo ni vya wanga na nakukumbusha sikuhizi sio kama zamani kuwa utatebea umbali mrefu kwenda kufata huduma, unaweza ukajiangalia kwenye miaka 5 ijayo jinsi kunywa soda kutakavyokuletea shida.

Point ni kwamba soda ni tamu, lakini ni kheri kupunguza siku za kunywa soda, labla mara 2 kwa mwezi , pia kujitahidi kufanya mazoezi.
 
Tunywe soda tu. usipo kunywa utakufa na ukinywa pia utakufa. Pespi tamu
Shida sio kufa, unakunywa soda kupitiliza alafu Mungu anakupa umri mrefu ila unakua unapata shida ya sukari, magonjwa ya moyo nk, unateseka na kutesa familia yako inayokuhudumia.Na kama wewe ni unampango wa kuwa na watoto unawaweka kwenye risk kubwa kizazi chako maana kuna sukari ya kurithi
 
Mimi ni Azam cola ile kubwa asee, nimekuwa mlevi kabisa wa hii kitu. Almost Kila siku lazima nipate moja na Pepsi.
 
[emoji39][emoji39][emoji39]
2717230_egrah_kamugisha-20210314-0001.jpg
 
Juzi Jana nimekunywa Coca cola yenye ladha ya maajabu, tena maeneo tofauti, ni kama vile wametujazia coca cola zero kwenye coca cola normal!

Au mvua nyingi sukari imenyeshewa??
 
Back
Top Bottom