Wenye uraibu "addiction" ya Soda, unawezaje au uliwezaje kukabiliana na hali hii?

Wenye uraibu "addiction" ya Soda, unawezaje au uliwezaje kukabiliana na hali hii?

Ndio, soda

Soda ina sukari nying ambayo sio nzuri kwa afya, How much sugar is in my drink?
Kwenye hio link inaeleza kuwa mfano coca cola ina vijiko 16 kwa sukari.
Sasa ukinywa coca cola kila siku na hufanyi mazoezi, au una historia ya kisukari katika familia, kumbuka vyakula vingi tunavyokula navyo ni vya wanga na nakukumbusha sikuhizi sio kama zamani kuwa utatebea umbali mrefu kwenda kufata huduma, unaweza ukajiangalia kwenye miaka 5 ijayo jinsi kunywa soda kutakavyokuletea shida.

Point ni kwamba soda ni tamu, lakini ni kheri kupunguza siku za kunywa soda, labla mara 2 kwa mwezi , pia kujitahidi kufanya mazoezi.
Wanga unafikiri unashida sema ukizidi ndo shida ila mwili unaakili ukila wanga ukanywa na soda mwili unaanza kuchukua sukari ya kwenye wanga kwanza nakuacha ile ya soda! Sasa ibaki inazubaa mwilini ndo utajua hujui itakapozidi..😂
 
Mie Pepsi mpaka nimeanza kuhisi kuna vitu wanaweka kutufanya kuwa addicted..yani siwez kula iwe asubuhi,mchana mpaka jioni bila kukung'uta Pepsi....kwa siku nakunywa mpaka 4..piga hesabu wiki,mwezi,mwaka.
Hurumia figo zako mkuu!
 
Hapo kabla nilipenda sanaaa soda, yaan fanta orange ya barid asee nilikuwa n mraibu wa soda fanta orange😋😊.

N hapa juz yalinikuta mambo, me ninavdonda vya tumbo s ndo nikanywa fanta bariid aseee nilihis nakufa. Nilipitia wakat mdumu mnooo, aki staki kukumbuka soda ilinitesa mnooo ukiona "mtu mzma analia mbele za watu ujue kuna jambo"


Sasa hv naogopa juic naogopa soda nogopa kila kitu cha kimininika, nahic nmepatwa na ugonjwa mpya wa hofu ya vinywaji. Nakunywa maji tu 😔 tena maji ya kawaida, naogopa kunywa had maji baridi.
 
Ndio, soda

Soda ina sukari nying ambayo sio nzuri kwa afya, How much sugar is in my drink?
Kwenye hio link inaeleza kuwa mfano coca cola ina vijiko 16 kwa sukari.
Sasa ukinywa coca cola kila siku na hufanyi mazoezi, au una historia ya kisukari katika familia, kumbuka vyakula vingi tunavyokula navyo ni vya wanga na nakukumbusha sikuhizi sio kama zamani kuwa utatebea umbali mrefu kwenda kufata huduma, unaweza ukajiangalia kwenye miaka 5 ijayo jinsi kunywa soda kutakavyokuletea shida.

Point ni kwamba soda ni tamu, lakini ni kheri kupunguza siku za kunywa soda, labla mara 2 kwa mwezi , pia kujitahidi kufanya mazoezi.
Hivi mkuu kwa Akili ya kawaida Tu ata bila tafiti nasie tufikirie, unaamini kwamba Pepsi Ina sukari vijiko 16? Hebu chukua Tu maji yenye ujazo sawa na soda Yani 350mls alafu weka hivo vijiko 16 uone kama utaweza kunywa au uone kama ukari wa sukari utakuwa sawa na wa soda yoyote Ile

Ukiangalia soda nyingi Tu hasa za take away zimeandikwa kiwango Cha sukari ambacho kimetumika humo na often waga Ina range 10-15g, ambayo approximately ni sawa na kijiko 1 Cha chai, je kuna watu wangapi wanaweka sukari vijiko vitatu kwenye kikombe Cha chai? Nawao tunawaongelea vipi hao?

Me nadhani kuachilia mbali madhara yatokanayo na soda kupitia chemical zake ila hii issue ya sukari vijiko 16 me nadhani ni uongo mkubwa sana na inawezekana ni vita vya kibiashara Tu, huwezi kunywa sukari 160g kwenye maji ya mls 350 bana
 
Yani sisi tukilewa safari na kvant kuna watu ni walevi wa soda??
 
Hivi mkuu kwa Akili ya kawaida Tu ata bila tafiti nasie tufikirie, unaamini kwamba Pepsi Ina sukari vijiko 16? Hebu chukua Tu maji yenye ujazo sawa na soda Yani 350mls alafu weka hivo vijiko 16 uone kama utaweza kunywa au uone kama ukari wa sukari utakuwa sawa na wa soda yoyote Ile

Ukiangalia soda nyingi Tu hasa za take away zimeandikwa kiwango Cha sukari ambacho kimetumika humo na often waga Ina range 10-15g, ambayo approximately ni sawa na kijiko 1 Cha chai, je kuna watu wangapi wanaweka sukari vijiko vitatu kwenye kikombe Cha chai? Nawao tunawaongelea vipi hao?

Me nadhani kuachilia mbali madhara yatokanayo na soda kupitia chemical zake ila hii issue ya sukari vijiko 16 me nadhani ni uongo mkubwa sana na inawezekana ni vita vya kibiashara Tu, huwezi kunywa sukari 160g kwenye maji ya mls 350 bana
Akili ni nywele, maana ukiambiwa kuwa hata kula wali mweupe badae hugeuka kuwa sukari kwasababu ni carbohydrate utabisha
 
Mie Pepsi mpaka nimeanza kuhisi kuna vitu wanaweka kutufanya kuwa addicted..yani siwez kula iwe asubuhi,mchana mpaka jioni bila kukung'uta Pepsi....kwa siku nakunywa mpaka 4..piga hesabu wiki,mwezi,mwaka.
Hawa inabidi wachunguzwe.

Hata mimi nimehisi kwaa muda mrefu sana kuwa Pepsi inaleta addiction
 
Mjadala wa mada hii umenipa hamasa ya kuendelea kupombeka.
 
Akili ni nywele, maana ukiambiwa kuwa hata kula wali mweupe badae hugeuka kuwa sukari kwasababu ni carbohydrate utabisha
Siwezi kubisha mkuu maana siku dodge vipindi vya biochemistry, ila hujajibu hoja yangu me nataka utumie ata Akili ya kawaida Tu ili tudiscuss hili, we inakuingia akilini kweli kuambiwa kinywaji Cha 350mls kina sukari 160g?

Kwani kujua kama kinywaji kina sukari nyingi inahitaji kipimo cha maabala au unahitaji ulimi unaoufanya Kazi vizuri? Msiwe mnaleta Tu malink na kupost bila kutumikisha Akili zenu

ata maji Kila siku tunahimizwa tunywe ya kutosha ila ukinywa maji kupita kiasi Yana madhara pia na yanaweza sababisha kifo kwahiyo watu wasinywe Sasa?

Jikite kuelezea madhara ya soda yanayo make sense na ambayo hujui acha kukopi kopi Tu malink hovyo, huko google Kuna Kila aina ya information na ukiziendea pupa zitakuingiza Chaka, wengine wanataka kuharibu biashara za watu and nothing more
 
Hawa inabidi wachunguzwe.

Hata mimi nimehisi kwaa muda mrefu sana kuwa Pepsi inaleta addiction
Mkuu Haina haja ya kuchunguzwa kwamba Kwanini Pepsi inaleta Addiction, maana sababu inajulikana

Mtu anaekunywa kahawa na anaekunywa Pepsi au ata energy drink wote lazima wawe addicted kutokana na caffeine iliyopo kwenye vinywaji hivo
 
Si useme tu wenye uraibu na Pepsi maana watu wengi ninaokutana nao wanalalamika kuwa na addiction ya soda huwa inakuwa ni Pepsi.
 
Back
Top Bottom