Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,226
- 8,879
- Thread starter
- #81
Cola ni janga la taifa hapa nipo kwenye process niichakate moja ya bariiiidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaah...nikweli hakuna aliyekuja kulinda dunia..ila kufa kijana na ndoto nyingi hua naona ni bonge ya loss.Bwana eeeeh hakuna hatakae ishi milele mara chai sumu mara soda sumu sasa tufanyaje wakati tumeumbiwa umaiti live your life bro.
Hii sio addiction tena amekufa na soda..Kuna jamaa namjua anaweza kunywa hizo pepsi hata 6 kwa siku
binafsi sina addiction lakini nikianza kuzimua naanza na mirinda nyeusi tangawizi ya baridi na painapple kwa mpigo..Hii addiction ya soda ni balaa kuna mzee asbh saa 12 unamkuta kashika coca huku anaota moto,sasa hivi anaitwa mzee wa coca
uko kama mimi ninapo maliza shughuli zangu za siku lazima nikimbie kwa mangi nipata mirinda nyeusi angalau hata 3 nafsi inasuuzika..Mirinda nyeusi weeeee sijui nifanyaje kuiacha
Soda ina addiction mbaya balaa...nimeshuhudia mama mmoja soda moja haimkati kiu mpaka achanganye soda aina mbili tofauti...usiombe hio addiction ni hatari bila soda hawezi kulala...kuna mzee mmoja naye hivo hivo tulikuwa safarini ilimpata kiu ya cokacola alilalamika balaa mpaka tulivofika kwenye ka mji kenye viduka nikaenda kumnunulia alivoinywa akahema kama mgu aliyepata pumzi ya uhai upyaSasa soda Ni kitu Cha kuwa addicted nacho Kweli?
Akitoboa miaka 49 niite mbwaKuna jamaa namjua anaweza kunywa hizo pepsi hata 6 kwa siku