Billion Dolar
JF-Expert Member
- Apr 7, 2021
- 1,292
- 2,953
Mo Energy zitaniu, yan kila siku lazima nikule kamoja nisipofanya hivi akili inaloaf polepole sana and siwezifanya kazi ionekane
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukikutana na mtu ambae anasumbuliwa na kisukari, au obesity utaacha mwenyeweNajitahidi kweli niache kunywa Pepsi
Serious mnashindwa kuacha soda!!!!😂Najitahidi kweli niache kunywa Pepsi
Njoo tuanze mazoezi.Najitahidi kweli niache kunywa Pepsi
Ni sumu soda sio nzuri zina chemicals nyingiDuuh yani baadhi ya vitu ni ngumu kuamini kuwa kuviacha ni janga la koo na ulimi soda ni moja ya vinywaji pendwa kwa watu ila baadhi ya watu wanashindwa kujitambua kuwa imeadhiri mfumo wao wa akili
Binafsi naona hii kwangu ikitokea nimekua Addicted na kitu cha COCACOLA yani ukinipa hii soda moyo unasuuzika hata kreti nahisi namaliza ikiwa nimekaa muda hata sikumbili ili nijaribu kuachana na uraibu huu najikuta narudi na speed ya 4G kwa kutanguliza Mo Extra ya baridi ikifatia COCA najaribu kweli kupunguza kunywa ila wapi nikikaa muda mrefu ni siku 4 au 5 tu.
Je, wewe tatizo hili limewahi kukukuta tueleze umeliachaje na kuwa huru kama umeshindwa wajuzi wa mambo tupeni njia maana utumwa wa pesa yako mwenyewe ni unakera?
NIMEMALIZA
Huwa natumia Turmeric Powder kutoka India kuchuja sumu.Ni sumu soda sio nzuri zina chemicals nyingi
inapatikana wapi hii@TASLIMAHuwa natumia Turmeric Powder kutoka India kuchuja sumu.
Mirinda nyeusi weeeee sijui nifanyaje kuiacha
Mimi sio msabato mkuuMtoa mada utakua msabato wewe[emoji4]
Wenzako unaowatia hamasa wanywe soda wanatumia nini kuchuja sumu, mnaharibu vizaziHuwa natumia Turmeric Powder kutoka India kuchuja sumu.
Mkabala na Habib Bank, Samora road...inapatikana wapi hii@TASLIMA
Brother nipo kwenye mchakato wa kuacha soda, manake zina niongeza uzito pia.Wenzako unaowatia hamasa wanywe soda wanatumia nini kuchuja sumu, mnaharibu vizazi
Hahahah heri yakoMi hapa nipo addicted na uji tu ule mzito unanukia sana