Wenye uraibu "addiction" ya Soda, unawezaje au uliwezaje kukabiliana na hali hii?

Wenye uraibu "addiction" ya Soda, unawezaje au uliwezaje kukabiliana na hali hii?

Mo Energy zitaniu, yan kila siku lazima nikule kamoja nisipofanya hivi akili inaloaf polepole sana and siwezifanya kazi ionekane
 
Hii addiction ya soda ni balaa kuna mzee asbh saa 12 unamkuta kashika coca huku anaota moto,sasa hivi anaitwa mzee wa coca
 
Wengi wanajidanganya kuwa mimi ni mwembamba kwaio hata nile nini siwezi kupata shida, ubaya ni kwamba kheri mnene mafuta yalipoganda yanaonekana ila mwembamba ni kwamba yanaweza kuganda kwenye moyo, mishipa ya uzazi nk
hivyo mazoezi ni muhimu sana haijalishi umbo lako, kama hauna mda jitahidi utembee hata nusu saa kwa siku inasaidia sana.

Nawashauri kupima BMI na BMR , hii itakusaidia ujue upo kwenye njia sahihi au upo kwenye danger zone
 
Duuh yani baadhi ya vitu ni ngumu kuamini kuwa kuviacha ni janga la koo na ulimi soda ni moja ya vinywaji pendwa kwa watu ila baadhi ya watu wanashindwa kujitambua kuwa imeadhiri mfumo wao wa akili

Binafsi naona hii kwangu ikitokea nimekua Addicted na kitu cha COCACOLA yani ukinipa hii soda moyo unasuuzika hata kreti nahisi namaliza ikiwa nimekaa muda hata sikumbili ili nijaribu kuachana na uraibu huu najikuta narudi na speed ya 4G kwa kutanguliza Mo Extra ya baridi ikifatia COCA najaribu kweli kupunguza kunywa ila wapi nikikaa muda mrefu ni siku 4 au 5 tu.

Je, wewe tatizo hili limewahi kukukuta tueleze umeliachaje na kuwa huru kama umeshindwa wajuzi wa mambo tupeni njia maana utumwa wa pesa yako mwenyewe ni unakera?

NIMEMALIZA
Ni sumu soda sio nzuri zina chemicals nyingi
 
Mirinda nyeusi weeeee sijui nifanyaje kuiacha
270251452_117296997461821_7680100070664689555_n.jpg
 
Wenzako unaowatia hamasa wanywe soda wanatumia nini kuchuja sumu, mnaharibu vizazi
Brother nipo kwenye mchakato wa kuacha soda, manake zina niongeza uzito pia.
 
Back
Top Bottom