Gharama anazopaswa kuingia mmiliki ni zipi, marejesho yanapaswa kuwa vipi? Changamoto zake ni zipi? Faida zake zinakuwaje hasa "mambo" yakienda vizuri. Matatizo ya kutarajia ni yapi?
Aina nzuri za bodaboda ni zipi? Mkataba unakuwaje? Kimsingi sijawahifanya biashara hii, ninataka tu "niwasaidie" vijana wawili walionifuata na kuniomba msaada kwani uchumi umeyumba kwetu sote!
Kila mtu na "siri" yake!
Aina nzuri za bodaboda ni zipi? Mkataba unakuwaje? Kimsingi sijawahifanya biashara hii, ninataka tu "niwasaidie" vijana wawili walionifuata na kuniomba msaada kwani uchumi umeyumba kwetu sote!
Kila mtu na "siri" yake!