Wenye uzoefu na biashara ya mkataba kwa bodaboda na bajaji naomba mnielimishe

Wenye uzoefu na biashara ya mkataba kwa bodaboda na bajaji naomba mnielimishe

Mimi naona Biashara ya mkataba ni kichaa

Biashara pasua kichwa hiyo ni sawa na kujaza maji kwenye tenga.
Ipo hivi pikipiki aina ya boxer inauzwa mil 2.8, hesabu ya siku unaletewa elfu 10 na mkataba kwa kawaida ni miezi 13..ukiwa unaletewa kila siku elfu 10 kwa mwezi utakuwa umeingiza laki 3,laki 3*13=3900000
3900000-2800000=1100000
Faida kwa mwaka mzima unapata mil 1.1
1100000÷13=84615...
Unatoa mil 2.8 mfukoni halafu kwa mwezi faida unaingiza elfu 84615 kama sio utahaira ni nini? Na mwisho wa siku pikipiki inakuwa sio yako tena

NB: Hapo bado haujapewa taarifa ya kuibiwa pikipiki, service ikiwa kubwa ni juu ya boss
Sasa na waendesha mabus wangekuwa wanafanya hivi sijui ingekuaje baada ya muda chombo inakuwa ya kwake 😄 hili suala halijawahi kuniingia akili kabisa
 
Naona ni Biashara pasua kichwa ya mkataba. ni sawa na kujaza maji kwenye tenga.
Ipo hivi pikipiki aina ya boxer inauzwa mil 2.8, hesabu ya siku unaletewa elfu 10 na mkataba kwa kawaida ni miezi 13..ukiwa unaletewa kila siku elfu 10 kwa mwezi utakuwa umeingiza laki 3,laki 3*13=3900000
3900000-2800000=1100000
Faida kwa mwaka mzima unapata mil 1.1
1100000÷13=84615...
Unatoa mil 2.8 mfukoni halafu kwa mwezi faida unaingiza elfu 84615 kama sio utahaira ni nini? Na mwisho wa siku pikipiki inakuwa sio yako tena

NB: Hapo bado haujapewa taarifa ya kuibiwa pikipiki, service ikiwa kubwa ni juu ya boss
Mwamba umezoea mabiashara makubwa au siyo..!! imejini una boda boda 20..!!

Anyway, ni njia ya kutunza fedha.
Kuhusu kuibiwa, hakunaga risk free business.
Kuna watu wanawalipa mahouse girlTshs 50,000/- kwa mwezi pamoja na kuwa wa kwanza kuamka na wa mwisho kulala.

UMESHAWAHI KUPIGA HESABU ZA KUMILIKI TAXI? BINAFSI HUKO NAKUONA NDO MICHOSO HASWA
 
Umesema unataka kumsaidia au kufanya biashara?
Piga ua lazima nikwambie ukweli hii ni biashara kichaaa iwe ni mkataba au sio. Kwa mahesabu yote tangu unanunua mpaka na kibali na marejesho yake kwa siku faida itakua ni elfu tatu nyie mnaita afu tatu.. Sasa ni nini hiki
Hahahahaha,maokoto hayo mkuu,elf 3 daily unaidharau tena yenye uhakika?

Ok wengine tunasaidia vijana na pia watoto wasisumbue hela ya shule na chips
 
Mwamba umezoea mabiashara makubwa au siyo..!! imejini una boda boda 20..!!

Anyway, ni njia ya kutunza fedha.
Kuhusu kuibiwa, hakunaga risk free business.
Kuna watu wanawalipa mahouse girlTshs 50,000/- kwa mwezi pamoja na kuwa wa kwanza kuamka na wa mwisho kulala.

UMESHAWAHI KUPIGA HESABU ZA KUMILIKI TAXI? BINAFSI HUKO NAKUONA NDO MICHOSO HASWA
Bodaboda 20 😄 aisee lazima kichwa kipate moto
 
Hahahahaha,maokoto hayo mkuu,elf 3 daily unaidharau tena yenye uhakika?

Ok wengine tunasaidia vijana na pia watoto wasisumbue hela ya shule na chips

Kuingiza Elfu 3 kwa siku sio mbaya..

Ila ninachopinga ni kuingiza elfu 3 kwa siku kwa kutumia mtaji milioni 3 kasoro. Plus Risk kubwa.. na hapo hapo mwisho wa mwaka mali inakuwa sio yako tena

Ingekuwa non risk business kama Nyumba ya kupangisha.. hata ukiingiza 1000 kwa siku sio mbaya.. maana nyumba inabaki yako milele na ni non risk
 
Nilinunua kinglion mwaka 2019 December 2350000 nikapeana kwa mkataba wa miezi 12 huwezi amini kufikia mwezi wa tatu kijana alizingua sio kidogo. nikapiga hesabu nikaona mi ndo naingia cha kike nikampora pikpiki nikauza kwa 1.7..hii biashara sio rahisi kiivo
 
Gharama anazopaswa kuingia mmiliki ni zipi,marejesho yanapaswa kuwa vipi?Changamoto zake ni zipi?Faida zake zinakuwaje hasa "mambo" yakienda vizuri!!Matatizo ya kutarajia ni yapi?Aina nzuri za bodaboda ni zipi?Mkataba unakuwaje?Kimsingi sijawahifanya biashara hii,ninataka tu "niwasaidie" vijana wawili walionifuata na kuniomba msaada kwani uchumi umeyumba kwetu sote!Kila mtu na "siri" yake!
Viongozi wawe na mapenzi kwa raia wao..Tunaomba atokee kiongozi mwenye imani Afute hii biashara ya bodaboda na bajaji..ni janga la taifa..zipigwe marufuku kwenye miji mikui na iwe marufuku kuagiza pikipiki au bajaji na Toyo madhara ni makubwa kushinda faida zake..ni Kinyaa kwenye miji yetu fujo inayoletwa na aina hii ya transport. Pawed na statistics kwa siku ni ajali ngapi za pikipiki na bajaji ukijumlisha na kuwakwaruzia watu magariyao na kukimbia. Wanach tunawaomba wenye Mamlaka pikipiki zipigwe marufuku.
 
Mimi naona Biashara ya mkataba ni kichaa

Biashara pasua kichwa hiyo ni sawa na kujaza maji kwenye tenga.
Ipo hivi pikipiki aina ya boxer inauzwa mil 2.8, hesabu ya siku unaletewa elfu 10 na mkataba kwa kawaida ni miezi 13..ukiwa unaletewa kila siku elfu 10 kwa mwezi utakuwa umeingiza laki 3,laki 3*13=3900000
3900000-2800000=1100000
Faida kwa mwaka mzima unapata mil 1.1
1100000÷13=84615...

Unatoa mil 2.8 mfukoni halafu kwa mwezi faida unaingiza elfu 84615 kama sio utahaira ni nini? Na hapo ukiigawanya kwa siku ni kama unaingiza 2800.

Sasa kwa mtaji milioni 3 kasoro sio sahihi kuingiza 3000 kwa siku. Huku mama muuza mihogo anaingiza zaidi ya hiyo kwa mtaji chini ya elfu 30.

Na hapo hapo mwisho wa mwaka piki piki inakuwa sio yako.. mtaji wote umekwisha

NB: Hapo bado haujapewa taarifa ya kuibiwa pikipiki, service ikiwa kubwa ni juu ya boss
Wewe ni mwamba...wengine wanamiliki biashara kwa ego tu ya kumiliki biashara...ila in long run wanakuwa upande wa loss....at least anunue Bajaj Kama anauwezo na kipande kwa siku ni 20000..
 
Kuingiza Elfu 3 kwa siku sio mbaya..

Ila ninachopinga ni kuingiza elfu 3 kwa siku kwa kutumia mtaji milioni 3 kasoro. Plus Risk kubwa.. na hapo hapo mwisho wa mwaka mali inakuwa sio yako tena

Ingekuwa non risk business kama Nyumba ya kupangisha.. hata ukiingiza 1000 kwa siku sio mbaya.. maana nyumba inabaki yako milele na ni non risk

nani amekuambia nyumba haina risk?

Likipita tetemeko?kama je ulijenga kimakosa mradi wa serkali unapita na hawalipi fidia?ikiwaka moto na huna bima?
 
Kwa hesabu zangu na uzoefu wangu hadi sasa bora hesabu japo madereva n wasumbufu kinoma hawakosagi sababu ya kutokukupa hesabu,unaweza pata fedha mara 3/4 kwa wiki hizo siku zngne n janjajanja labda upate dereva mwenye anajielewa…Oil uwe unabadili mwenyew hawa wahuni oil inakaa had mwezi

Kimsingi mkataba kama haijakaa vizur(haina maslah mapana kwa boss)kwan baada ya miez 12 chombo sio yako,na pikipiki mpya ukikomaa na derava vzr ndan ya mwaka unakua umerudsha fedha yako kwa hesabu ya 7000/8000 na pikipiki mpya inaweza kuishi had miaka 5 ikitunzwa vizur ko utakua na miaka 4 ya kuokota hata kama ikiwa 100 kwa mwez sio mbaya inakua n passive income

Swala la risk hilo lipo wazi kama n ajali/kuibiwa itaibiwa tu hata iwe n ya mkataba…kikubwa unapoingia kwenye game yeyote uandae moyo wako lolote zaid sana dua mambo yawe nafuu



Binafsi nafanya za hesabu,Japo kusema ukwel hakuna pesa rahisi madereva n pasua kichwa kama unahasira za haraka unaweza tandika makofi
 
Mku
Currently nina mikataba ya aina hii na watu kadhaa. Bodaboda nilizonazo ni boxer. Hesabu kila siku ni Tshs. 10,000/- kwa mwaka mzima (siku 365, sawa na Tshs 3,650,000/-, boda hiyo niliinunua Tshs. 2,600,000/-). Sasa toka hapo mtakubaliana kwamba mpeane hesabu kila baada ya wiki (70,000), au kila baada ya siku 10 (100,000/-). Usiweke siku zaidi ya 10 maana na wao kutunza fedha ni changamoto.

Ila mnasainishana serikali ya mtaa. Binafsi huko serikali ya mtaa, nalipa 20,000/- kila mkataba ninaoingia na mtu.

NB. Ukitaka sample ya mkataba wa bodaboda njoo inbox, nitakupa ukiwa kwenye word format.
Mkuu, mbona faida ni ndogo Sana.

Yaani 3650,000-2,600,000 = 1,050,000 ndo faida Tena ya mwaka mzima?

Mbona ni Kama Biashara kichaa? Maana mwaka wote huo Kuna kuumwa na matatizo ya hapa na pale. Kwa hela hiyo ukiumwa Tu mara moja si inaishia kujiuguza.

Me nadhani faida itaonekana Kama Una Bodaboda kuanzia 10 hivi sio mbaya.
 
Kwa hesabu zangu na uzoefu wangu hadi sasa bora hesabu japo madereva n wasumbufu kinoma hawakosagi sababu ya kutokukupa hesabu,unaweza pata fedha mara 3/4 kwa wiki hizo siku zngne n janjajanja labda upate dereva mwenye anajielewa…Oil uwe unabadili mwenyew hawa wahuni oil inakaa had mwezi

Kimsingi mkataba kama haijakaa vizur(haina maslah mapana kwa boss)kwan baada ya miez 12 chombo sio yako,na pikipiki mpya ukikomaa na derava vzr ndan ya mwaka unakua umerudsha fedha yako kwa hesabu ya 7000/8000 na pikipiki mpya inaweza kuishi had miaka 5 ikitunzwa vizur ko utakua na miaka 4 ya kuokota hata kama ikiwa 100 kwa mwez sio mbaya inakua n passive income

Swala la risk hilo lipo wazi kama n ajali/kuibiwa itaibiwa tu hata iwe n ya mkataba…kikubwa unapoingia kwenye game yeyote uandae moyo wako lolote zaid sana dua mambo yawe nafuu



Binafsi nafanya za hesabu,Japo kusema ukwel hakuna pesa rahisi madereva n pasua kichwa kama unahasira za haraka unaweza tandika makofi
Umeongea mambo mazito,naomba ufafanuzi zaidi!Umeongea kitu hiki "bora hesabu" sijakuelewa!!Mimi bado mgeni kabisa kwenye hili suala!
 
Back
Top Bottom