Aneel munawar
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 4,580
- 8,141
Hapana...tabu iko wapi hapo...ukiendesha mwenyewe 40 k hukosi hio ni kwa dodoma..weekend hadi 60k....ila 20 k ni kipande uhakika na kile chuma hakiharibiki ovyoTabu iko palepale labda uendeshe mwnyew
M9.5 tvsBajaji inauzwa shilingi ngapi?Hasa zile mpya
Naomba sample ya mkataba plsGharama anazopaswa kuingia mmiliki ni zipi,marejesho yanapaswa kuwa vipi?Changamoto zake ni zipi?Faida zake zinakuwaje hasa "mambo" yakienda vizuri!!Matatizo ya kutarajia ni yapi?Aina nzuri za bodaboda ni zipi?Mkataba unakuwaje?Kimsingi sijawahifanya biashara hii,ninataka tu "niwasaidie" vijana wawili walionifuata na kuniomba msaada kwani uchumi umeyumba kwetu sote!Kila mtu na "siri" yake!
nani amekuambia nyumba haina risk?
Likipita tetemeko?kama je ulijenga kimakosa mradi wa serkali unapita na hawalipi fidia?ikiwaka moto na huna bima?
nani amekuambia nyumba haina risk?
Likipita tetemeko?kama je ulijenga kimakosa mradi wa serkali unapita na hawalipi fidia?ikiwaka moto na huna bima?
Kwa pikipiki mpya boxer 150 mkataba ni miezi 16 kila siku lazima atoe 10000Gharama anazopaswa kuingia mmiliki ni zipi, marejesho yanapaswa kuwa vipi? Changamoto zake ni zipi? Faida zake zinakuwaje hasa "mambo" yakienda vizuri. Matatizo ya kutarajia ni yapi?
Aina nzuri za bodaboda ni zipi? Mkataba unakuwaje? Kimsingi sijawahifanya biashara hii, ninataka tu "niwasaidie" vijana wawili walionifuata na kuniomba msaada kwani uchumi umeyumba kwetu sote!
Kila mtu na "siri" yake!
Bajaji inaweza kuwa na nafuu kidogo kuliko boda hasa kama utapata dogo anaejua kutunza chombo na kutafuta maokoto. Ila ukiifanya wewe mwenyewe ndio inakuwa bingo zbajaji nayo Ina
Vip kwa upande wa muda yaani ikifika miezi mingapi namuachia bajaji au hilli la muda limekaaje kwa upande wa bajajiBajaji inaweza kuwa na nafuu kidogo kuliko boda hasa kama utapata dogo anaejua kutunza chombo na kutafuta maokoto. Ila ukiifanya wewe mwenyewe ndio inakuwa bingo zaidi.
Vip kwa upande wa muda yaani ikifika miezi mingapi namuachia bajaji au hilli la muda limekaaje kwa upande wa bajaji
Daaah! umechanganua vema.Mimi naona Biashara ya mkataba ni kichaa
Biashara pasua kichwa hiyo ni sawa na kujaza maji kwenye tenga.
Ipo hivi pikipiki aina ya boxer inauzwa mil 2.8, hesabu ya siku unaletewa elfu 10 na mkataba kwa kawaida ni miezi 13..ukiwa unaletewa kila siku elfu 10 kwa mwezi utakuwa umeingiza laki 3,laki 3*13=3900000
3900000-2800000=1100000
Faida kwa mwaka mzima unapata mil 1.1
1100000÷13=84615...
Unatoa mil 2.8 mfukoni halafu kwa mwezi faida unaingiza elfu 84615 kama sio utahaira ni nini? Na hapo ukiigawanya kwa siku ni kama unaingiza 2800.
Sasa kwa mtaji milioni 3 kasoro sio sahihi kuingiza 3000 kwa siku. Huku mama muuza mihogo anaingiza zaidi ya hiyo kwa mtaji chini ya elfu 30.
Na hapo hapo mwisho wa mwaka piki piki inakuwa sio yako.. mtaji wote umekwisha
NB: Hapo bado haujapewa taarifa ya kuibiwa pikipiki, service ikiwa kubwa ni juu ya boss
Daaah! umechanganua vema.Mimi naona Biashara ya mkataba ni kichaa
Biashara pasua kichwa hiyo ni sawa na kujaza maji kwenye tenga.
Ipo hivi pikipiki aina ya boxer inauzwa mil 2.8, hesabu ya siku unaletewa elfu 10 na mkataba kwa kawaida ni miezi 13..ukiwa unaletewa kila siku elfu 10 kwa mwezi utakuwa umeingiza laki 3,laki 3*13=3900000
3900000-2800000=1100000
Faida kwa mwaka mzima unapata mil 1.1
1100000÷13=84615...
Unatoa mil 2.8 mfukoni halafu kwa mwezi faida unaingiza elfu 84615 kama sio utahaira ni nini? Na hapo ukiigawanya kwa siku ni kama unaingiza 2800.
Sasa kwa mtaji milioni 3 kasoro sio sahihi kuingiza 3000 kwa siku. Huku mama muuza mihogo anaingiza zaidi ya hiyo kwa mtaji chini ya elfu 30.
Na hapo hapo mwisho wa mwaka piki piki inakuwa sio yako.. mtaji wote umekwisha
NB: Hapo bado haujapewa taarifa ya kuibiwa pikipiki, service ikiwa kubwa ni juu ya boss
Mkoa gani?M9.5 tvs
Kwa uzoefu wangu hii ni biashara kichaa.Gharama anazopaswa kuingia mmiliki ni zipi, marejesho yanapaswa kuwa vipi? Changamoto zake ni zipi? Faida zake zinakuwaje hasa "mambo" yakienda vizuri. Matatizo ya kutarajia ni yapi?
Aina nzuri za bodaboda ni zipi? Mkataba unakuwaje? Kimsingi sijawahifanya biashara hii, ninataka tu "niwasaidie" vijana wawili walionifuata na kuniomba msaada kwani uchumi umeyumba kwetu sote!
Kila mtu na "siri" yake!
Vijana wezi wataongezeka mtaani. Boda ziemdelee tu kuwepo watu wajitafutie mlostatistics
Umekosea hapo kama kwa siku ni 10000,wiki ni 70000,kwa mwezi 280000 ukizidisha miezi 12 ni sawa 3,360,000Kwa siku 10 × 7 = 70,000 × 12 = ? Utakachopata ,Mkataba tafuta sampo kisha ongeza au punguza unachotaka
NB : Dereva awe muelewa ,
HahahahahahaUmekosea hapo kama kwa siku ni 10000,wiki ni 70000,kwa mwezi 280000 ukizidisha miezi 12 ni sawa 3,360,000
Si bora ununue pikipiki 38.5M arround hapa
Hili jambo nilikua nawaza saana, ila sasa mbona kila leo Biashara inazidi kushika Kazi.Mimi naona Biashara ya mkataba ni kichaa
Biashara pasua kichwa hiyo ni sawa na kujaza maji kwenye tenga.
Ipo hivi pikipiki aina ya boxer inauzwa mil 2.8, hesabu ya siku unaletewa elfu 10 na mkataba kwa kawaida ni miezi 13..ukiwa unaletewa kila siku elfu 10 kwa mwezi utakuwa umeingiza laki 3,laki 3*13=3900000
3900000-2800000=1100000
Faida kwa mwaka mzima unapata mil 1.1
1100000÷13=84615...
Unatoa mil 2.8 mfukoni halafu kwa mwezi faida unaingiza elfu 84615 kama sio utahaira ni nini? Na hapo ukiigawanya kwa siku ni kama unaingiza 2800.
Sasa kwa mtaji milioni 3 kasoro sio sahihi kuingiza 3000 kwa siku. Huku mama muuza mihogo anaingiza zaidi ya hiyo kwa mtaji chini ya elfu 30.
Na hapo hapo mwisho wa mwaka piki piki inakuwa sio yako.. mtaji wote umekwisha
NB: Hapo bado haujapewa taarifa ya kuibiwa pikipiki, service ikiwa kubwa ni juu ya boss