Record Man
JF-Expert Member
- May 25, 2023
- 525
- 876
Wakuu Habari za weekend.
Hivi unakuta Baba na mama walizaa ila kila mmoja akaenda na ndoa yake.
Sasa kijana anataka kuoa, na yeye hajaishi kwa Mama yake wala kwa Baba yake. Kaishi na shangazi yake.
Sasa anajiuliza kuhusu situation itakuwaje kuhusu mama yake kuudhulia kwenye shughuli kama kupeleka mali. Na kwenda kumtambulisha mchumba kwa mama yake kwani, kwa mama yake hajawahi kwenda walikuwa wanakutana tuu mara chache sana.
Ishu kwa mzee atasema ataenda tuu japo hana mazoea na mke wa mzee wake.
Ishu ndo hio anawasiwasi kuwa kwa mama yake anaweza kuto kwenda yani hapa, wasiwasi anaona anaweza kuuzulia tuu labda siku ya harusi na sio shughuli zingine kama kumtambulisha mchumba, kwenda kwenye kisherehe cha kupeleka mahali, na send-off.
Wakuu mnamsaidiaje huyu.
Hivi unakuta Baba na mama walizaa ila kila mmoja akaenda na ndoa yake.
Sasa kijana anataka kuoa, na yeye hajaishi kwa Mama yake wala kwa Baba yake. Kaishi na shangazi yake.
Sasa anajiuliza kuhusu situation itakuwaje kuhusu mama yake kuudhulia kwenye shughuli kama kupeleka mali. Na kwenda kumtambulisha mchumba kwa mama yake kwani, kwa mama yake hajawahi kwenda walikuwa wanakutana tuu mara chache sana.
Ishu kwa mzee atasema ataenda tuu japo hana mazoea na mke wa mzee wake.
Ishu ndo hio anawasiwasi kuwa kwa mama yake anaweza kuto kwenda yani hapa, wasiwasi anaona anaweza kuuzulia tuu labda siku ya harusi na sio shughuli zingine kama kumtambulisha mchumba, kwenda kwenye kisherehe cha kupeleka mahali, na send-off.
Wakuu mnamsaidiaje huyu.