Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndy hivyo mkuu.Asee
Sawa endelea kukata ugaliIssue mama hataki
Wenye uzoefu hii familia naishije nayo au nirudi tu kwetu
😂😂😂Sawa endelea kukata ugali
Shukrani !Fanya kama anavyotaka mke wa kaka, inabidi ujishushe kidogo, uendane nae na umsikilize uwe karibu nae (hapo mambo yataenda sawa, ukishaungana nae na kumsapot kwenye system ya maisha yake).
Ikiwa una malengo yako ya dhati na unataka kuyasimamia, inabidi uwe mvumilivu sana na kuyapa kisogo yote ambayo hauendani nayo (jifunze kuyapenda ili mradi ya kwako yanakuendea, jifunze kuupenda ugali pia)
Maisha yanachangamoto nyingi sana, na changamoto hazikimbiwi. Kila sehemu kwenye changamoto ujue kuna fursa ukituliza akili na kufungua macho yaka
Yaani kubwa zima linalialia chakulaEti ugali kwa kwenda mbele, si uende kwako sasa ukapike biriani kila siku
Hahahhahh aseeKwani ulilazimishwa? Kiherehere tu. Hii "ishu" unayoificha ndo hiyo itakuletea nongwa. Kama umri huu bado unapewa masharti we bado mtoto. Ungekua mkubwa ungepita kusabahi na kuwapelekea huo wali ili wakupikie.
Asee ila ni bro sasa