Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Huenda amekimbia shida huwezi juaUkitaka uishi unavyopenda wewe rudi kwako/kwenu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huenda amekimbia shida huwezi juaUkitaka uishi unavyopenda wewe rudi kwako/kwenu.
Vyovyote vile, ukishakua unaishi kwa watu jitahidi kufata taratibu zao muende sawa vinginevyo hakuna rangi utaacha ona.Huenda amekimbia shida huwezi jua
Unaonaje ukirudi kwenu?Binafsi mwezi huu wa tatu hivi karibuni nilisafiri kwenda mkoa X ila ni ndani ndani mpakani na msumbiji huku.
Kwa kuwa ni kwa kaka yangu sikua na mashaka kwenda, bro ameshaoa tayari na pia ana watoto wawili sema anaeishi ni mmoja mwingine yupo kwa shangazi (yaani bibi)
Haya wiki ya kwanza picha linaanza sijui ilitokeaje dogo akavunja miwani yangu ni glasses alidondosha chini… nikamwambia bro akanizungushaa nikasema nitalimaliza mimi mwenyewe
Sijakaa kidogo USB ya chaja imekatika ila nijua moja kwa moja dogo kaikata ni mtundu mno hili nalo niliongea nae akanizungusha
Tangu nije hapa yaani ni ugali kwa kwenda mbele[emoji20][emoji20] ni almost wiki ya pili hii labda pasaka MUNGU asaidie niuone wali walau kwa mbaali
Yaan huyu mama wa hapa najiuliza sijui ana ugomvi na mimi maana tangia nije hata kupika anataka nipike mimi… nikichat kosa anamwambia bro mi nachat tu eti sifanyi kazi ilihali namsaidiaga
Wenye uzoefu hii familia naishije nayo au nirudi tu kwetu [emoji2362]
Ndo zee zima unakula kwa shemeji. Eti unamsaidia oa na wewe upikiwe kama Mimi ningekuchana liveShule ndo nini mkuu
tushastaafu kushika peni wenzio
Kuishi kwa kaka ni mtihani mzito...lazima ajipendekeze kwa mkewe..Vyovyote vile, ukishakua unaishi kwa watu jitahidi kufata taratibu zao muende sawa vinginevyo hakuna rangi utaacha ona.
[emoji16][emoji16][emoji16]Unaonaje ukirudi kwenu?
Ukipewa ugali wao wanakula nini?
Wanakula kitu kingine? Kama wanakula unachokula basi binafsi wageni wa aina Yako ni wapumbavu tu.
Sasa mambo ya chakula yamekujaje hapa? Wewe fanya issue yako uondoke vinginevyo Rudi kwako ukale wali ukisubiri issue yako.Kuna ishu imenileta hapa ….
Pumbavu umesema unakula ugali wiki ya tatu Sasa unasubiri wali pasaka Sasa ugali gani huli?sili ugali utaeza [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji2362]
Mimi mgane unaonaje?[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Jf wengi wameoa humu am too young kuwa mke wa pili
Mkuu mtu anayelia lia kuhusu msosi maana yake hana hata uwezo wa kujimudu.Sasa mambo ya chakula yamekujaje hapa? Wewe fanya issue yako uondoke vinginevyo Rudi kwako ukale wali ukisubiri issue yako.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Fanya lilikokupeleka uondoke usije vunja ndoa ya watu kwa lawama.Asee
Fursa hahahaFungua pm nikushauri vizuri in "Privacy"[emoji854]
na bado unalilia wali???Shule ndo nini mkuu
tushastaafu kushika peni wenzio
Looh miwani ni almost 260,000 kwa fresh graduate siez afford kwa haraka hivoHuo ugali unakula peke yako? Kama mnakula wote hayo ndo maisha ya hapo. Wether you abide by the circumstances or quit. Shida yenu mnaenda kwa ndugu zenu na mategemeo ya kula mapochopocho everyday wakati huo uwezo haupo.
Halaf kwa nini unataka kaka yako akurefund vitu anavyoharibu mtoto?