una uhakika ?? wewe kila mtu wa JF unamfahamu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] pole for taking shit too serious
[emoji1787] comment zako huko juu zinakufunga.Ushasema mwenyewe, wewe ni graduate tena fresh from school.Umeenda Kwa kaka Yako Kuna inshu unaifatilia.
Cha ajabu Sasa.
Kuna inshu unaifatilia lakini muda mwingi uko home Kwa broda ukimsaidia wifi Yako kazi,Kiasi kwamba ukichill kidogo na kushika simu wifi Yako anagomba kuwa uko bize na simu saana.
Kutoka mpaka ruhusa,ndiyo ni vizuri! Lakini hakuna sehemu yoyote uliyo Onesha hiyo inshu iliyo kupeleka unaifanyia kazi.Kubwa kuliko umekuja kuzungumzia kuhusu chakula kuwa ni ugali tuu karibia wiki tatu lakini una Imani Labda pasaka ambayo ni jumapili utakula wali.
Sasa kwako kufanya kazi lakini maneno ya wifi Yako kuwa hufanyi kazi,chakula kuwa ni ugali Kila siku unaona ni kero KUENDELEA kuwa Kwa kaka Yako pia Mtoto wake Kaka Yako kuharibu miwani na usb ndo unaona kama adhabu.
Unadai Mama yako nyumbani anakwambia uendelee kuishi huko na Kaka Yako anakwambia uendelee kuwa kwake,Lakini wazo lako ni kutaka kurudi kwenu,
Hujali inshu iliyo kupeleka Wala sababu iliyo kufanya uwe Kwa Kaka Yako.Akili inawaza urudi kwenu TU.
#RUDI KWENU TU,SEEMS HAKUNA CHA INSHU WALA NINI,ULIENDA KUISHI NA SIYO KWA AJIRI YA INSHU.KWAHIYO RUDI KWENUU ULISHA CHOKWA.!!! halafu kisa ni kaka Yako unataka akusukilize wewe kuliko Mke wake[emoji13][emoji13].Rudi kwenu TU ukakuee.
Kuhusu vitu alivyo haribu mtotoo Haina haja ya kumlipisha kaka Yako,Maana Mtoto ni wake bado na wewe ni ndugu yake huyo Mtoto(Shangazi)[emoji1787].Samehe TU.Akikulipa fresh ,asipo kulipa usiweke chuki.
Kwa heri ndo maisha ya mtaani hayo na Bado Sasa maana akili Yako inakutuma kuwa wewe bado mtotoo Kwa umehitimu chuo uko Kwa wazazi.Ngoja wazazi wakuone mzigo,Sijui utauliza uendee wapi[emoji1787][emoji1787].Oke love connect ipooo.
Byee!!