Wenye uzoefu wa kuishi kwa ndugu nipeni muongozo

Wenye uzoefu wa kuishi kwa ndugu nipeni muongozo

Binafsi mwezi huu wa tatu hivi karibuni nilisafiri kwenda mkoa X ila ni ndani ndani mpakani na Msumbiji huku.

Kwakuwa ni kwa kaka yangu sikua na mashaka kwenda, bro ameshaoa tayari na pia ana watoto wawili sema anaeishi ni mmoja mwingine yupo kwa shangazi (yaani bibi)

Haya wiki ya kwanza picha linaanza sijui ilitokeaje dogo akavunja miwani yangu ni glasses alidondosha chini, nikamwambia bro akanizungushaa nikasema nitalimaliza mimi mwenyewe.

Sijakaa kidogo USB ya chaja imekatika ila nijua moja kwa moja dogo kaikata ni mtundu mno hili nalo niliongea nae akanizungusha.

Tangu nije hapa yaani ni ugali kwa kwenda mbele😞😞 ni almost wiki ya pili hii labda pasaka MUNGU asaidie niuone wali walau kwa mbaali.

Yaan huyu mama wa hapa najiuliza sijui ana ugomvi na mimi maana tangia nije hata kupika anataka nipike mimi, nikichat kosa anamwambia bro mi nachat tu eti sifanyi kazi ilihali namsaidiaga

Wenye uzoefu hii familia naishije nayo au nirudi tu kwetu 🤦🏽‍♀️
1. Unafahamu ratiba yao ya mlo kabla hajaenda?
2. Je huo ugali nao wanakula au unalishwa peke yako?
Ndio maana mimi sitaishi na ndugu yangu kamwe, ndugu lawama ndio kama nyie.
Huoni ulifanya uzembe mpaka dogo kakwaribia miwani na usb yako? Mbona vya babake haaribu aharibu vya kwako tu? Linda vitu vyako acha kumchonganisha ndoa za watu.
 
1. Unafahamu ratiba yao ya mlo kabla hajaenda?
2. Je huo ugali nao wanakula au unalishwa peke yako?
Ndio maana mimi sitaishi na ndugu yangu kamwe, ndugu lawama ndio kama nyie.
Huoni ulifanya uzembe mpaka dogo kakwaribia miwani na usb yako? Mbona vya babake haaribu aharibu vya kwako tu? Linda vitu vyako acha kumchonganisha ndoa za watu.
😅😅😅 aah umejuaje haaribu unakaaga nae?? vitu vingne siez vieka hapa mkuu

Mtoto ni mtoto huezi mchunga

Aah huo ugali never mind kwanza metoka kula sasa hivi tafanyaje sasa😍
 
GUYS mechoka na huu uzi sihitaji new reply

tukomee hapa 🙏🏽
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
 
[emoji28]
JamiiForums876696784.jpg
 
Shule ndo nini mkuu

tushastaafu kushika peni wenzio
Umestaafu kushika peni na Bado unaomba ushauri/ mbinu za kuishi kwa nduguyo, au Kuna ndugu wamekuja kuishi kwako ungefafanua kuwapa watu mwanga waanzie wapi
 
Back
Top Bottom