Wenye uzoefu wa safari za nje ya nchi naombeni kueleweshwa hapa kuhusu Yellow fever card

Wenye uzoefu wa safari za nje ya nchi naombeni kueleweshwa hapa kuhusu Yellow fever card

Ruble

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2013
Posts
845
Reaction score
1,579
Wakuu mimi nilichoma YELLOW FEVER zamani..nakumbuka niliambiwa inakaa mwilini miaka 10. Kipindi nachoma ilikua zile passport za zamani.

Nimechoma 2016 hivyo kimsingi haijaisha mwilini kinga yake itaisha 2026. Sasa nauliza kuna haja ya kuchoma tena au kutoa pesa nipewe kadi mpya ambayo itaonyesha passport namba ya hizi passport mpya?
 
Wakuu mimi nilichoma YELLOW FEVER zamani..nakumbuka niliambiwa inakaa mwilini miaka 10. Kipindi nachoma ilikua zile passport za zamani. Nimechoma 2016 hivyo kimsingi haijaisha mwilini kinga yake itaisha 2026. Sasa nauliza kuna haja ya kuchoma tena au kutoa pesa nipewe kadi mpya ambayo itaonyesha passport namba ya hizi passport mpya?
Ndio! Hata mimi hapo umenikumbusha. Unatakiwa kuwa na KADI YA MANJANO ambayo inaonesha namba za HATI YA KUSAFIRIA 🛂 uliyonayo sasa hivi.
 
Ndio! Hata mimi hapo umenikumbusha. Unatakiwa kuwa na KADI YA MANJANO ambayo inaonesha namba za HATI YA KUSAFIRIA 🛂 uliyonayo sasa hivi.
Kuna mtu kanijibu wala sio ishu. Haitiliwi maanani. Na kwa kua bado iko valid sina haja ya kuwa na kadi mpya. Yeye amesafiri kama wiki 2 kwenda ulaya. Na ana kadi ya zamani maana alichoma 2015
 
Kuna mtu kanijibu wala sio ishu. Haitiliwi maanani. Na kwa kua bado iko valid sina haja ya kuwa na kadi mpya. Yeye amesafiri kama wiki 2 kwenda ulaya. Na ana kadi ya zamani maana alichoma 2015

Yap kama iko valid unapeta nayo!! Na siku nyingine unakuwa mjanja mkuu haya machanjo sio ykuchoma unatafuta kadi hela kidogo mambo yanaenda poa
 
Wakuu mimi nilichoma YELLOW FEVER zamani..nakumbuka niliambiwa inakaa mwilini miaka 10. Kipindi nachoma ilikua zile passport za zamani.

Nimechoma 2016 hivyo kimsingi haijaisha mwilini kinga yake itaisha 2026. Sasa nauliza kuna haja ya kuchoma tena au kutoa pesa nipewe kadi mpya ambayo itaonyesha passport namba ya hizi passport mpya?
1.Je, unayo kadi ya Yellow Fever?Kama unayo, Je, Kwenye hiyo kadi yako kuna maelezo gani kuhusiana na uhai (lifespan) ya hiyo chanjo yako uliyochoma?
2. Kama hauna Kadi, tafadhali sana nenda ukachanjwe kabla ya kuanza safari. Hata kama ulichanjwa na umepoteza kadi yako nenda kachanjwe tena upya, kwa Dsm kituo cha Chanjo ya Homa ya Manjano kipo pale Hospitali ya Mnazi Mmoja.Utapewa Kadi Mpya ambayo utaitumia ktk maisha yako yote ya hapa duniani.
USHUHUDA WANGU: Kuna nchi kadhaa ambazo nimewahi kudhuru, Wasafiri ambao hwakuwa na Kadi ya Homa ya Manjano walikamatwa na kuwekwa chini ya ulinzi wa Askari wa Uhamiaji na Kisha kuchomwa Sindano ya Homa ya Manjano kwa lazima wakiwa Airport, na Walilipishwa gharama kubwa zaidi ya chanjo hiyo in terms of USD.
3.Chukua Tahadjari kubwa, usianzishe Safari za kimataifa bila ya kuwa na Kadi ya Homa ya Manjano, nchi za wenzetu wapo Serious sana na Sheria zao, hususani linapokuja suala la Afya ya binadamu.
 
Nenda kachome kabla hujafurumushwa. Kule sio bongo ukalete maelezo mengi
Umesoma maelezo au unakurupuka?
Kiazi.
Mimi nilichoma 2016 na inakaa miaka 10. Swali langu lilikua linajikita khs mabadiliko ya passport kama yanaendana na ulazima wa kupati kadi mpya.
 
Yap kama iko valid unapeta nayo!! Na siku nyingine unakuwa mjanja mkuu haya machanjo sio ykuchoma unatafuta kadi hela kidogo mambo yanaenda poa
Mkuu chanjo muhimu hizi. Mi hata ya HPV nataka nichome
 
Mimi nilikua na Card pia Passport ya zamani, nikapata Passport mpya, kabla sijasafiri nikaenda pale Mnazi mmoja, nikijua Ntachanja tena ili nipewe Card mpya!

Walinambia Ukichanjwa mara moja ni kwa Maisha yako, nikawapa taarifa zangu, nikaripia 5,000 nikapewa Card mpya.
 
Umesoma maelezo au unakurupuka?
Kiazi.
Mimi nilichoma 2016 na inakaa miaka 10. Swali langu lilikua linajikita khs mabadiliko ya passport kama yanaendana na ulazima wa kupati kadi mpya.
Kama nimekuelewa vizuri, ulichanja ukiwa na Passport X, badae ukapata passport Y:
-Kama kadi bado unayo, huhitaji mpya.
-Kama kadi ulipoteza,bado records zako kwenye system zipo, unaweza kuomba kadi mpya. Hakika utatozwa kitu kidogo huhitaji chanjo
 
Kama nimekuelewa vizuri, ulichanja ukiwa na Passport X, badae ukapata passport Y:
-Kama kadi bado unayo, huhitaji mpya.
-Kama kadi ulipoteza,bado records zako kwenye system zipo, unaweza kuomba kadi mpya. Hakika utatozwa kitu kidogo huhitaji chanjo
Umetishaaaa mkubwa. Umeelewa vema kabisa. Na ahsante kwa maelezo murua
. Kuna mdau naye amenijibu hivyo pia. Maana Ulaya sio EA hakuna janjajanja ndo maana nkataka jua mapema
 
Mimi nilikua na Card pia Passport ya zamani, nikapata Passport mpya, kabla sijasafiri nikaenda pale Mnazi mmoja, nikijua Ntachanja tena ili nipewe Card mpya!

Walinambia Ukichanjwa mara moja ni kwa Maisha yako, nikawapa taarifa zangu, nikaripia 5,000 nikapewa Card mpya.
Got u my man!
 
Umesoma maelezo au unakurupuka?
Kiazi.
Mimi nilichoma 2016 na inakaa miaka 10. Swali langu lilikua linajikita khs mabadiliko ya passport kama yanaendana na ulazima wa kupati kadi mpya.
1.Je, hiyo Passport ya zamani unayo?
2.Je, kuna tofauti au mabadiliko ya majina kati ya passport ya zamani na passport mpya uliyonayo?
3.Kama hakuna mabadiliko ya majina kati ya hizo passport zako ulizonazo, wala hakuna shida. Nenda tu na hiyo Passport yako mpya na Kadi yako ya Manjano, zote zitatambulika na kukubaliwa. Lakini kama majina yako yanatofautiana kwenye hizo Passport ulizonazo, ni vyema ukaenda/ubebe Passport zote mbili ulizonazo ili kuepuka usumbufu mipakani.
3.Kama huna Passport ya zamani, na kama majina yaliyopo kwenye Kadi ya Homa ya manjano yanatofaitiana na majina yaliyopo kwenye passport yako mpya uliyonayo, ni vyema ukaenda kuchanja upya ili upate kadi mpya yenye majina sawa na yaliyopo kwenye passport yako mpya.
 
Umetishaaaa mkubwa. Umeelewa vema kabisa. Na ahsante kwa maelezo murua
. Kuna mdau naye amenijibu hivyo pia. Maana Ulaya sio EA hakuna janjajanja ndo maana nkataka jua mapema
Huu mfumo upo tu EAC ambapo wanaweza kuaccess data zako(kwa wenye Passport na hati nyingine za kusafilia). Sema tu ni yale yale. Wakiscan Passport yako,hata hawashindwi kuona kama umechanjwa au la. Sema tu wanapata pa kukupiga na wao
 
Kuna mtu kanijibu wala sio ishu. Haitiliwi maanani. Na kwa kua bado iko valid sina haja ya kuwa na kadi mpya. Yeye amesafiri kama wiki 2 kwenda ulaya. Na ana kadi ya zamani maana alichoma 2015
Ni muhimu sana! Kwa sababu sasa hivi taarifa zipo kielektroniki 🙏🏾
 
Back
Top Bottom