Wenye uzoefu wanisadie nahisi kabisa sio mtu wa kawaida

Wenye uzoefu wanisadie nahisi kabisa sio mtu wa kawaida

Ila Watu jamani!
Siku hiyo hiyo tu mshabebana na kupakazana majasho,

[emoji1785]
 
Msaada huwa kabla ya tukio..baada ya hapo ni pole au hongera
 
subiri baada ya siku 3, Gono au UTI au vyote kwa pamoja,

Tricozole inakuhusu
 
Wakuu Naombeni Msaada.

Mimi ni mtumishi wa umma ila nipo likizo ni wiki ya pili sasa. Jana mida ya saa tano usiku hivi nikiwa nimechoka tu kukaa ndani siku nzima nikaamua nitoke...
Mcheki Mother akupe ushauri maana anajua madhaifu yako yote
 
Mwambie umebadilisha namba umpe namba yangu ili asikutafute tena awe ananitafuta mimi
 
Niseme tuu. Ukiona mtu kakwaa ngoma, halafu wewe huna, shukuru tuu Mungu. Na uendelee kuomba usiipate. Usijikute mjanja sana. Kwamaana tulio wengi tunafanya sana ngono zembe.

Fikiria huyu mwamba, kakutana na pisi haijui haimjui. Kaenda kula kavu halafu asubuhi ndo anaenda kucheki Afya! Seriosly?!🤣🤣🤣 na niwengi tuu tunafanyaga hivi.

Mi nilishawahi kwenda kula pisi, nimejiandaa kabisa ndomu kila kitu. Tupo katikati ya game pisi ikaomba nitoe ndomu. Hata sikufikiria mara mbili. Nikarespond. Nimekuja kuachana na pisi ndo nawaza 'was that healthy' (In Ndugai's Voice)
Mungu aendelee kutunusuru tuu kwakweli😫
 
Wakuu Naombeni Msaada.

Mimi ni mtumishi wa umma ila nipo likizo ni wiki ya pili sasa. Jana mida ya saa tano usiku hivi nikiwa nimechoka tu kukaa ndani siku nzima nikaamua nitoke...
Usijitie wenge mkuu
Majini hayana simu😂😂😂

Watoto wa pwani ndiyo mambo yao hayo enjoy🔥
 
Niseme tuu. Ukiona mtu kakwaa ngoma, halafu wewe huna, shukuru tuu Mungu. Na uendelee kuomba usiipate. Usijikute mjanja sana. Kwamaana tulio wengi tunafanya sana ngono zembe.

Fikiria huyu mwamba, kakutana na pisi haijui haimjui. Kaenda kula kavu halafu asubuhi ndo anaenda kucheki Afya! Seriosly?!🤣🤣🤣 na niwengi tuu tunafanyaga hivi.

Mi nilishawahi kwenda kula pisi, nimejiandaa kabisa ndomu kila kitu. Tupo katikati ya game pisi ikaomba nitoe ndomu. Hata sikufikiria mara mbili. Nikarespond. Nimekuja kuachana na pisi ndo nawaza 'was that healthy' (In Ndugai's Voice)
Mungu aendelee kutunusuru tuu kwakweli😫
Huu ni ukweli kabisa mkuu.
 
Back
Top Bottom