GiftedMan94
Senior Member
- Dec 28, 2017
- 114
- 348
- Thread starter
- #41
Daah!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah!
Nahisi mafuta yananihusu..kuna jamaa kaniambia nipulize moshi wa bangi nataka nitafute hiyo bidhaaWahi kwa mwamposa ukakanyage mafuta,hakuna namna
Subiri kwanza akutafuteWakuu Naombeni Msaada.
Mimi ni mtumishi wa umma ila nipo likizo ni wiki ya pili sasa. Jana mida ya saa tano usiku hivi nikiwa nimechoka tu kukaa ndani siku nzima nikaamua nitoke. Kabla ya kutoka nikapiga simu kadhaa kwa vipengele vyangu nikaona navyo havieleweki vinanipangia muda wa kuvitafuta wakati hela yangu mwenyewe. Nikatoka zangu mpaka tiptop bar. Huwa napapenda tu kuna vibe flani la uswaziuswazi.
Nimeingia zangu nikakaa zangu peke yangu na nikaletewa serengeti zangu tatu na kuanza kuupa mwili pole kwa kukaa ndani siku nzima. Hii sehemu huwa kuna wale dada zangu wanaotafutwa na mstahiki meya ila sikuonesha ushirikiano nao wowote so nilikuwa tu peke yangu
Ghafla ikatokeo pisi moja inataka kufanana msomali hiyo rangi yake jamani. Ni mrembo haswa. Akaja moja kwa moja akaja nilipokaa. Kila njemba iliyokuwa hapo ilikuwa inamtolea macho. Nikajifanya kama hajanishtua. Kumbe aliniongelesha sikumsikia labda kwa sababu ya mziki au kuvimba kwangu. Ikabidi anishtue kwa mkono. It was such a gentle touch na kuniuliza " hapa kunaitwaje" na lafudhi flani nikajua huyu sio mbongo. Akaagiza redds zake mbili na akalipia.. kwa ufupi tulipata kufahamiana yeye ni mkenya ( mmombasa) yupo dar kikazi Tuliongea vitu vingi sana. Alilipa bili yote yangu na yake
Kinachonileta kwenu wakuu niliondoka naye mpaka hotel aliyofikia. Kusema ukweli huyu mpwani wa mombasa anaweza kukufanya ujione wewe ndio mwanaume peke yako dunia nzima wengine ni kenge tu. Nikaelewa kwa nini kivuko chetu kimepelekwa mombasa kufanyia matengezo ya 7 billion wakati kipya ni 8.5 billion. Hana pupa hata kidogo very calm and composed sijawahi ona.. Ule ukweli hatukutumia condom.
Na asubuhi amenipa cha asubuhi kiroho safi. Na tumeenda dispensary kucheki afya zetu wote tupo fresh..Wakuu ninachoombea msaada ni kuwa nimeoga sijui mara ngapi ya harufu ya huyu mdada imenikaa hainitoki chumba changu chote nasikia harufu yake. I can't think of anything namuwaza muda wote. Sijawahi tokea na kitu kama hiki sio kawaida na wasiwasi si binadamu wa kawaida. Ni kama natembea naye muda wote. Naisense her presence kila sehemu.
Wakuu isije ikawa ni jini.. amenipa namba yake kwa masharti yeye ndio atanifuta sio mimi nimtafute... ubaya sina furaha kabisa ghafla yaan kuna vitu sivielewi tangia nimeachana naye hiyo asubuhi. Nikimfikiri ndio napata furaha sijui nielezeje wakuu mnielewe. Naona hii ni hatari naombeni msaada
Mkuu sina amani na wala furaha ..... nipo empty inside kabisaUsijitie wenge mkuu
Majini hayana simu😂😂😂
Watoto wa pwani ndiyo mambo yao hayo enjoy🔥
Hilo ni hubba mkuuMkuu sina amani na wala furaha ..... nipo empty inside kabisa
Huwezi amini navyosubiria anitafute... mkuu hii hali sio poaSubiri kwanza akutafute
Unadhani nilishindwa kusimamia bili mwenyewe mkuuUtombist mwingine bana!!! Ukutane na mtu sa tano za usiku,mnywe ulipiwe vinywaji,uunge bodi mpaka anako lala Eti mka duu baada ya hapo ndo ukapime!!!!
Na bado..aanze kukutokea kabisa ukome.
Mwanaume unalipiwa vinywaji na pa kulala ukalale dezo halafu ubaki salama..koma
Ngoja tuone.. ndio nasubiri anitafuteHilo ni hubba mkuu
Subiri akupigie
Kama mlicheki afya basi hakuna cha kuhofia
Wa UMUGHAKA sio??Atakua maya huyo
🤣🤣🤣Jamaa kavu sana ww. Nikaelewa kwa nini kivuko chetu kimepelekwa mombasa kufanyia matengezo ya 7 billion wakati kipya ni 8.5 billion. Hana pupa hata kidogo very calm and composed sijawahi ona.. Ule ukweli hatukutumia condom.
Asipokutafuta shukuru MunguHuwezi amini navyosubiria anitafute... mkuu hii hali sio poa
Mkuu hebu nipe maelezo ndio nani asije akawa ni yeye labda nilipangwa... Huyu maya ni naniWa UMUGHAKA sio??
Acha wenge umeliwakilisha taifaWakuu Naombeni Msaada.
Mimi ni mtumishi wa umma ila nipo likizo ni wiki ya pili sasa. Jana mida ya saa tano usiku hivi nikiwa nimechoka tu kukaa ndani siku nzima nikaamua nitoke. Kabla ya kutoka nikapiga simu kadhaa kwa vipengele vyangu nikaona navyo havieleweki vinanipangia muda wa kuvitafuta wakati hela yangu mwenyewe. Nikatoka zangu mpaka tiptop bar. Huwa napapenda tu kuna vibe flani la uswaziuswazi.
Nimeingia zangu nikakaa zangu peke yangu na nikaletewa serengeti zangu tatu na kuanza kuupa mwili pole kwa kukaa ndani siku nzima. Hii sehemu huwa kuna wale dada zangu wanaotafutwa na mstahiki meya ila sikuonesha ushirikiano nao wowote so nilikuwa tu peke yangu
Ghafla ikatokeo pisi moja inataka kufanana msomali hiyo rangi yake jamani. Ni mrembo haswa. Akaja moja kwa moja akaja nilipokaa. Kila njemba iliyokuwa hapo ilikuwa inamtolea macho. Nikajifanya kama hajanishtua. Kumbe aliniongelesha sikumsikia labda kwa sababu ya mziki au kuvimba kwangu. Ikabidi anishtue kwa mkono. It was such a gentle touch na kuniuliza " hapa kunaitwaje" na lafudhi flani nikajua huyu sio mbongo. Akaagiza redds zake mbili na akalipia.. kwa ufupi tulipata kufahamiana yeye ni mkenya ( mmombasa) yupo dar kikazi Tuliongea vitu vingi sana. Alilipa bili yote yangu na yake
Kinachonileta kwenu wakuu niliondoka naye mpaka hotel aliyofikia. Kusema ukweli huyu mpwani wa mombasa anaweza kukufanya ujione wewe ndio mwanaume peke yako dunia nzima wengine ni kenge tu. Nikaelewa kwa nini kivuko chetu kimepelekwa mombasa kufanyia matengezo ya 7 billion wakati kipya ni 8.5 billion. Hana pupa hata kidogo very calm and composed sijawahi ona.. Ule ukweli hatukutumia condom.
Na asubuhi amenipa cha asubuhi kiroho safi. Na tumeenda dispensary kucheki afya zetu wote tupo fresh..Wakuu ninachoombea msaada ni kuwa nimeoga sijui mara ngapi ya harufu ya huyu mdada imenikaa hainitoki chumba changu chote nasikia harufu yake. I can't think of anything namuwaza muda wote. Sijawahi tokea na kitu kama hiki sio kawaida na wasiwasi si binadamu wa kawaida. Ni kama natembea naye muda wote. Naisense her presence kila sehemu.
Wakuu isije ikawa ni jini.. amenipa namba yake kwa masharti yeye ndio atanifuta sio mimi nimtafute... ubaya sina furaha kabisa ghafla yaan kuna vitu sivielewi tangia nimeachana naye hiyo asubuhi. Nikimfikiri ndio napata furaha sijui nielezeje wakuu mnielewe. Naona hii ni hatari naombeni msaada
Mwenyewe nimeshtuka na hyo avatar...Oyaa sio poa. Na hiyo avatar yako unaweza ukawa serious
Ujinini kumbe hawatumii simu🤣🤣🤣🤣Usijitie wenge mkuu
Majini hayana simu😂😂😂
Watoto wa pwani ndiyo mambo yao hayo enjoy🔥
Asipokutafuta shukuru Mungu
Daah...kumbeAsipokutafuta shukuru Mungu