Wenye uzoefu wanisadie nahisi kabisa sio mtu wa kawaida

cheap as hell,vinywaji ulipiwe na gesti uingizwe kesho ukijikuta mke wa mtu unaanza kulialia ohh mimi namkosi ohh mie askari......shubamit nyie ndomnaichelewesha mvua
 
Kmmk kwahiyo hata baba yako unamuita kenge sabab ya malaya?

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Uko reckless sana as a man

Kulikuwa na uwezekano hata wa kutolewa figo

Wanawake ndio huwa wanapelekwa pelekwa hivyo, wengi wao huwa hawaangalii hata hatua 10 mbele

Anyway msubr Mshana Jr akupe mwongozo
 
Watoto wa Mombasa wakija Dar wanazagaa Magomeni Mikumi,Usalama na Kagera. Hapo Tip Top Lounge umepata mjasiriamali ameamua kukutunuku kakuelewa. Kuna wakina dada wapo smart wanachukua vyumba wanakua wanamendea vibopa wanaoenda kupumzika Nefaland,Pacific,Zimbo na Silver Paradise Hotel wanasubiri simu ziite
 
Umejikwaa kwa Jini Mahaba
Hapo wewe subiri kupewa masharti ya namna ya kuishi naye tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…