Wenye wabebz JF msiwe mnatuchunia tukiwa tunachat nao humu JF

Umesahau kitu kimoja unakuta mtu unachat naye kawaida tu anatoka hapo anaenda pm kwa mbebez wako anasema anakukula loooh mtihani kwa kweli
 
Umesahau kitu kimoja unakuta mtu unachat naye kawaida tu anatoka hapo anaenda pm kwa mbebez wako anasema anakukula loooh mtihani kwa kweli
Heee!lengo ni nini sasa!!kuharibiana au?!!
 
Hapo sasa kingine mwanaume ndo anatakiwa ajiongeze sasa anajua ana mbebz humu still analeta zile za kifilipino!!yeye ndo akae mbali na wadada au km vipi aweke mahusiano wazi km mahonda na smart[emoji3] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Hahhahaha ufilipino bongo,.. mahondaw nshamwambia yeye wake hawezi bebishwa maana hadi mods wanalitambua hilo,..shughuli iko kwa wenzangu na mm[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahhahaha ufilipino bongo,.. mahondaw nshamwambia yeye wake hawezi bebishwa maana hadi mods wanalitambua hilo,..shughuli iko kwa wenzangu na mm[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3] [emoji3] [emoji3] tunaofichwa fichwa sisi ndo tunaloo!

Ndo nnapokuchunia hapo ukimkoti bebi wangu haki tenaa
 
Hihihihihihihi... Miye Nabadilisha vicheko tu



Cc Smart911
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…