SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
Sio za maisha tu za hela maana mimi sijamwanza mtu naanzwaPole sana babe wangu! ☹️ Kuna watu humu wana stress zao za maisha. Kwa hiyo ujitahidi kuchukua tahadhari mapema ili wasikushambulie.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio za maisha tu za hela maana mimi sijamwanza mtu naanzwaPole sana babe wangu! ☹️ Kuna watu humu wana stress zao za maisha. Kwa hiyo ujitahidi kuchukua tahadhari mapema ili wasikushambulie.
MwacheniI'd yake inaukakasi mkubwa😁
Tumemshika wapi?Mwacheni
Kuanzia leo nakublock acha kunisumbuaWe jifanye umevulugwa tu jichetue akili
Dogo ana uliza mpenzi jf😂🤣Kuna nini huko mjini
Na maneno yenuTumemshika wapi?
Siku ya valentine ananunue muwa wa 2000 atembee anatafuna funa hadi aumalize siku ya valentine utamu keep busyNdugu yangu Kijana masikini kwanza una kazi, kama unayo sawa kama huna jua kuwa kuwa na demu wakati ukiwa jobless ni mtihani mkubwa asilimia za kufaulu mtihani huo ni ndogo mno 3/100 kwa kuwa utanyanyaswa, utavunjika moyo ila usijali waswahili wanasema kwenye giza totoro mwanga wa matumaini utjitokeza,
napenda kukukaribisha kwenye chama cha majobless pro max kikiongozwa na Mh Raisi wa majobless pro max Intelligent businessman na makamu wake Bolotoba katibu wa chama ni min -me
waziri wq mambo ya ndani ni Thecoder msajili wa chama ni dosho12 wakili ni Selikavu mratibu wa chama Edo kissy
Na bila kumsahau semaji la chama makutupora
Kama ukifanikiwa kupata demu hichi kipindi cha valentine sisi tutakuelekeza ni sehemu gani kuna maua mazuri ya kuchuma bure kwa ajili ya zawadi ya maua na ni zawadi gani inapaswa kutoa ili wote mridhiki pasipo kuumia moyo mmoja wenu
Kidumu chama cha majobless pro max
Akiwa anatokea sehemu ambapo muwa ni bei nafuu akija kumaliza huo muwa meno yote na taya hazifanyi kazi tena 😅😅😅Siku ya valentine ananunue muwa wa 2000 atembee anatafuna funa hadi aumalize siku ya valentine utamu keep busy
Asonge mbele maneno hayana maana wengine tunavuta mda tu tukapige vibaruaNa maneno yenu
Nakweli nyumba yako imeisha mkuu?Asonge mbele maneno hayana maana wengine tunavuta mda tu tukapige vibarua
Nyumba ipi?Nakweli nyumba yako imeisha mkuu?
Yakoo siulikuwa unajenga??Nyumba ipi?
Eeeh nani kakuambia?Yakoo siulikuwa unajenga??
Mwache ajiokoteee dume la mbeguDogo ana uliza mpenzi jf😂🤣
naam, dingi fulani hivi mwenye kitambi na mzuzu wenye bleach nyekundu😂🤣Mwache ajiokoteee dume la mbegu
😂😂😂naam, dingi fulani hivi mwenye kitambi na mzuzu wenye bleach nyekundu😂🤣
🤣🤣🤣Msaidie na yeye apateEee anatushangaa imekuwaje Tayana-wog na mimi sasa tuna watoto🤣🤣
🤣🤣naam, dingi fulani hivi mwenye kitambi na mzuzu wenye bleach nyekundu😂🤣
Oya kumbe una Uzoefu eeeh.Mwache ajiokoteee dume la mbegu
🤣🤣🤣Ila wengine waongoKwa huyu uliyem quote sjui
Ila JF watu wana kulana vizuri sanaaa ndo nlichogundua.
Nina shuhuda za wana nje ya JF ambao wanakiri kula mizoga ya humu kilainiiiii