Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
🤣🤣🤣Dogo ana uliza mpenzi jf😂🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Dogo ana uliza mpenzi jf😂🤣
🤣🤣🤣Jichanganye 🐒
Vipi wewe pia ni mwanamke? 😂😂
Khaaaaa😅😅😅😅🙌Vipi wewe pia ni mwanamke? 😂😂
nita ijuaje kisa jina au Profile photo 😂🤣Khaaaaa😅😅😅😅🙌
Nashukuru ht jinsia yangu Bado hujui
tunao na tunadunda maana hatudumuUkishakuwa na demu humu ndiyo mwisho wako wa kuwa huru.
haohao walioko tinder na badoo ndo wako humu tena humu ni pro max wanakufata wenyewe pmHivi unaanzaje kufikiri kutafuta mpenzi mtandaoni.!... demu wa kupiga na kusepa uko tinder au badoo sawa lakini mpenzi hapana kwa kweli. Unamfanyiaje vetting mtandaoni.
Kwa kweli acha nionekane mshamba tu lakini negotiation yoyote ya mtandaoni iwe mpenzi au biashara sifanyi
Nimevutiwa sana na sera ya chama chenu na sasa naitaka kadi ya uanachamaNdugu yangu Kijana masikini kwanza una kazi, kama unayo sawa kama huna jua kuwa kuwa na demu wakati ukiwa jobless ni mtihani mkubwa asilimia za kufaulu mtihani huo ni ndogo mno 3/100 kwa kuwa utanyanyaswa, utavunjika moyo ila usijali waswahili wanasema kwenye giza totoro mwanga wa matumaini utjitokeza,
napenda kukukaribisha kwenye chama cha majobless pro max kikiongozwa na Mh Raisi wa majobless pro max Intelligent businessman na makamu wake Bolotoba katibu wa chama ni min -me
waziri wq mambo ya ndani ni Thecoder msajili wa chama ni dosho12 wakili ni Selikavu mratibu wa chama Edo kissy
Na bila kumsahau semaji la chama makutupora
Kama ukifanikiwa kupata demu hichi kipindi cha valentine sisi tutakuelekeza ni sehemu gani kuna maua mazuri ya kuchuma bure kwa ajili ya zawadi ya maua na ni zawadi gani inapaswa kutoa ili wote mridhiki pasipo kuumia moyo mmoja wenu
Kidumu chama cha majobless pro max
Demu wa kumaliza upwiru tunaweza ku-negotiate tu mtandaoni ila mpenzi hapana. Kuna mambo muhimu ya kuyajua ambayo siwezi kupata iyo nafasi mtandaonihaohao walioko tinder na badoo ndo wako humu tena humu ni pro max wanakufata wenyewe pm
Kuanzia sasa wewe ni mwanafamilia wetu wa chama cha majobless pro max usiwe na shaka ukiwa na shida yoyote kuhusu haki zako wakili wetu Selikavu atakushughulikia yupo radhi akatwe miguu yote ila afike popote mwanachama akiwa na shida ya haki Mh Raisi wetu Intelligent businessman yupo tayari auze figo, moyo hata ini lake ( kwa kuwa hana hela 😁😁😁 ) ili mwanachama apate haki yakeNimevutiwa sana na sera ya chama chenu na sasa naitaka kadi ya uanachama
Nihame kwa job holder rasmi nihamie jobless
Intelligent businessman
Akaribie kwenye chama Tupo kwa ajili yakeKuanzia sasa wewe ni mwanafamilia wetu wa chama cha majobless pro max usiwe na shaka ukiwa na shida yoyote kuhusu haki zako wakili wetu Selikavu atakushughulikia yupo radhi akatwe miguu yote ila afike popote mwanachama akiwa na shida ya haki Mh Raisi wetu Intelligent businessman yupo tayari auze figo, moyo hata ini lake ( kwa kuwa hana hela 😁😁😁 ) ili mwanachama apate haki yake
Sasa nikuunganishe kwa katibu min -me pamoja na semaji la chama makutupora huyu alisema hata akishonwa mdomo kwa nyuzi za kushonea viatu ila sauti yake itasikika mashariki mpaka magharibu kwa ajili ya kusema haki za mwana jobless
Kidumu chama cha majobless pro max
😂demu hadi anaijua JF na anachangia mijadala fikirishi lazima awe mjuaji
Mvulana? Ungependa mdogo wako awe na mtoto wa shule?🤣 dada yako si yupo amlee🤣🤣🤣Msaidie na yeye apate
Naam karibu katika chama Cha ma jobless pro maxNimevutiwa sana na sera ya chama chenu na sasa naitaka kadi ya uanachama
Nihame kwa job holder rasmi nihamie jobless
Intelligent businessman
Kumbee🤣🤣🤣Ila wengine waongo
Sawa kiongozi ila hata hivyo nishaokota bebe suuni tu hapa namtangaza rasmi.Hivi mtu unajiita Kijana masikini alafu utegemee bahati zikudondokee🤣mwisho wa siku Ata ndege naye akipita angani anakunyea maana anajua wewe ni maskini hufurukuti(kijana masikini)
😃😃😃😃😂🤣Sasa unaogopa majini? Tanga tunakunywa nayo kahawa!
Jobless haogopii kitu mamaaae 😂
mada tatu katika mada mojaTupeane uzoefu wakuu, inauma sana unaweka chapisho lako kuhusu mambo ya kilimo mtu anakuja kuchati na demu wake, mara mashemeji, mara mawifi, hivi hawa mademu zenu mliwezaje kuwapata?
Mwisho kabisa kama kuna demu mnamfahamu kuwa yuko singo humu nishtueni nianze kumlia doria.