Wenye wapenzi (wanawake) humu JF mliwezaje kuwapata?

Hivi unaanzaje kufikiri kutafuta mpenzi mtandaoni.!... demu wa kupiga na kusepa uko tinder au badoo sawa lakini mpenzi hapana kwa kweli. Unamfanyiaje vetting mtandaoni.

Kwa kweli acha nionekane mshamba tu lakini negotiation yoyote ya mtandaoni iwe mpenzi au biashara sifanyi
 
haohao walioko tinder na badoo ndo wako humu tena humu ni pro max wanakufata wenyewe pm
 
Nimevutiwa sana na sera ya chama chenu na sasa naitaka kadi ya uanachama

Nihame kwa job holder rasmi nihamie jobless
Intelligent businessman
 
Nimevutiwa sana na sera ya chama chenu na sasa naitaka kadi ya uanachama

Nihame kwa job holder rasmi nihamie jobless
Intelligent businessman
Kuanzia sasa wewe ni mwanafamilia wetu wa chama cha majobless pro max usiwe na shaka ukiwa na shida yoyote kuhusu haki zako wakili wetu Selikavu atakushughulikia yupo radhi akatwe miguu yote ila afike popote mwanachama akiwa na shida ya haki Mh Raisi wetu Intelligent businessman yupo tayari auze figo, moyo hata ini lake ( kwa kuwa hana hela 😁😁😁 ) ili mwanachama apate haki yake

Sasa nikuunganishe kwa katibu min -me pamoja na semaji la chama makutupora huyu alisema hata akishonwa mdomo kwa nyuzi za kushonea viatu ila sauti yake itasikika mashariki mpaka magharibu kwa ajili ya kusema haki za mwana jobless

Kidumu chama cha majobless pro max
 
Akaribie kwenye chama Tupo kwa ajili yake
 
mada tatu katika mada moja

1. Malalamiko juu ya charting zisizoendana na content ya mada husika

2. Mtu anawezaje kupata mwanamke humu JF

3. kama kuna mtu ana connection ya mchumba akushtue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…