Wenye wapenzi (wanawake) humu JF mliwezaje kuwapata?

Mkuu sisi masikini wa pesa na akili ndiyo tunawasaidia majukumu ya kimwili na kisaikolojia hawa wake zenu, kwahiyo muache tu ainjoi hapa usiwe na wivu wa kupindukia
Kijana wewe hujui namna utelezi unavyoumiza akichapa mwengine

Hivi unajua ana nyash kama hapa na morogoro halafu wewe ndiyo uishike? No nina wivu
 
Kijana wewe hujui namna utelezi unavyoumiza akichapa mwengine

Hivi unajua ana nyash kama hapa na morogoro halafu wewe ndiyo uishike? No nina wivu
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† Kama ni hivyo basi tulia mkuu kuwa na amani, ukionesha kuwa na wivu kupindukia ataanza kuniganda ili akukomoe wewe nawajuwa vizuri hawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…