Nimeshangaa sana sana kusikia shemeji yuko single....kah! umeamua kumchinjia mwamba baharini
Kwa hiyo wewe na SweetyCandy mmeshaachana?Shemeji yako kwa nani! Kivipi yani au kuna mtu ananitaka huko na hamniambii, mbona sielewi hapa!
Mkuu sisi masikini wa pesa na akili ndiyo tunawasaidia majukumu ya kimwili na kisaikolojia hawa wake zenu, kwahiyo muache tu ainjoi hapa usiwe na wivu wa kupindukiaAu umeshaanza kumzimikia? Nimepata wivu nimeumia sana
Kijana wewe hujui namna utelezi unavyoumiza akichapa mwengineMkuu sisi masikini wa pesa na akili ndiyo tunawasaidia majukumu ya kimwili na kisaikolojia hawa wake zenu, kwahiyo muache tu ainjoi hapa usiwe na wivu wa kupindukia
si yupo na Tate Mkuu hadi kiwanja wamechagua kwaajili ya valentino,Kwa hiyo wewe na SweetyCandy mmeshaachana?
Twende pm tukapige umbea wetu then tufanye yetu sasaUmeanza eeehπ€£
SweetyCandy switi kendi yupi tena huyo si anabadilishana viungo na Tate Mkuu au kuna Switi kendi mwingine!Kwa hiyo wewe na SweetyCandy mmeshaachana?
Mimi nasinzia nipigie tuongee babeπTwende pm tukapige umbea wetu then tufanye yetu sasa
Done hilo limeisha baby mama na vipi valentine yetu ulisema wapi vile?Mimi nasinzia nipigie tuongee babeπ
πππππmi nilijuaga wako!samahani shemejiSweetyCandy switi kendi yupi tena huyo si anabadilishana viungo na Tate Mkuu au kuna Switi kendi mwingine!
NdiyoKwaiyo wew ni Domo Zege
Twende Zanzibar Hubby.Done hilo limeisha baby mama na vipi valentine yetu ulisema wapi vile?
Tuondoke sasa hapaTwende Zanzibar Hubby.
πππ Kama ni hivyo basi tulia mkuu kuwa na amani, ukionesha kuwa na wivu kupindukia ataanza kuniganda ili akukomoe wewe nawajuwa vizuri hawaKijana wewe hujui namna utelezi unavyoumiza akichapa mwengine
Hivi unajua ana nyash kama hapa na morogoro halafu wewe ndiyo uishike? No nina wivu