Wenye wapenzi (wanawake) humu JF mliwezaje kuwapata?

Shida ya humu ukishaanza kujuana au kuchat tu na baadhi PM baadae unashindwa kuopen up sana jukwaani maana utakua unaogopa nikiandika hv flan nliechat nae atahis nam-target.....watu wangekufundisha jambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…