πππ sio ushauri mbaya ila vuta picha dem anakukataa hapa hapa hadharani mbona ni bonge la noma.Mkuu anzia hapa hapa mkuu, nenda pole pole kwenye Uzi huu lazima utoke na kitu
Sema Nini okoa jahaz mkuuHawez pata umeona Majibu yake lakin??
ππUnanionea kabisaMchukue Qashy Lilith c unaona anazagaa zagaa kwenye uzi wako.
Kwanini?Ukishakuwa na demu humu ndiyo mwisho wako wa kuwa huru.
Ngoja aone aende[emoji1787] nilienda kwa mwamposa akanitabiria
Yule mwanetu mtunga story ulishatemana nae... Nataka nijiwekeZipi?
Kwanini?Ukishakuwa na demu humu ndiyo mwisho wako wa kuwa huru.
Inatakiwa akujue hata huko pm kuwa kuna mda ukichaa unakupandaShida ya humu ukishaanza kujuana au kuchat tu na baadhi PM baadae unashindwa kuopen up sana jukwaani maana utakua unaogopa nikiandika hv flan nliechat nae atahis nam-target.....watu wangekufundisha jambo
It seems like hujawa matured enough ππππ sio ushauri mbaya ila vuta picha dem anakukataa hapa hapa hadharani mbona ni bonge la noma.
Utakuwa unatoa maoni Yako Kwa kumhofia huyo mpenzi mliyepatana humu.Maana atakuwa anaijua ID yako ya jamii forum.Kwanini?
Hapana kaka, kwani wewe hutaki uwe unalitagi shemu lako mnapiga stori! mbona itapendezaSamaleko ndugu yangu mpendwaaa? Umeanza kunywa pombe eeeeh ππππ
Mkuu kukataliwa ni kawaida usiogopeπππ sio ushauri mbaya ila vuta picha dem anakukataa hapa hapa hadharani mbona ni bonge la noma.