Qashy Lilith
JF-Expert Member
- Aug 30, 2024
- 1,508
- 2,965
Anasema nazagaa kwenye huu Uzi😹😹Anakuone unamaanisha mimi ni mzigo mzito!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anasema nazagaa kwenye huu Uzi😹😹Anakuone unamaanisha mimi ni mzigo mzito!
Kizungu hicho mkuuIt seems like hujawa matured enough 👆
Usiogope kukataliwa mkuu we tongoza yoyote unaeona anakufit.Kizungu hicho mkuu
AhaaUtakuwa unatoa maoni Yako Kwa kumhofia huyo mpenzi mliyepatana humu.Maana atakuwa anaijua ID yako ya jamii forum.
Endelea kuchakataKweli wewe ni "Kijana Masikini" kama jina lako. Unakosaje demu JF hapa wewe!
Watu tunachakata mbususu toka enzi za JamboForums hapa hapa jamvini.
Na hawa hawaachani!
Sawa kiongozi ngoja nimkazie but mmojaMkuu kukataliwa ni kawaida usiogope
Unaniwasha data kimtindo hapa. Kuna mmoja anaitwa. Midekoo yeye anashinda kwenye uzi wa warembo wakali wodi waidi, Huwa najiuliza 'hili sio dume kweli hili'Shtuka ww utaibiwa umu hamna mwanamke ata mmoja 🤣
Ata wakiwemo ni wale sura ya baba hawafai kwa namna yoyote si kwa ndoa wala kugegeda hawafaiiiiiiiiiiii kabisaaaaa 🤣
🤣🤣🤣 shtukaa broUnaniwasha data kimtindo hapa. Kuna mmoja anaitwa. Midekoo yeye anashinda kwenye uzi wa warembo wakali wodi waidi, Huwa najiuliza 'hili sio dude kweli hili'
Mbaruku mda sio mrefu chululu za watu zitapostiwa humu, usikae mbaliHuu Uzi usiposhika Petrol mbeleni huko sijui ?
Mana naona ID za kijasusi zinatinga jamvini.
Mkuu usizoee zoee PmShida ya humu ukishaanza kujuana au kuchat tu na baadhi PM baadae unashindwa kuopen up sana jukwaani maana utakua unaogopa nikiandika hv flan nliechat nae atahis nam-target.....watu wangekufundisha jambo
Mim ni mshenga wako tayarSawa kiongozi ngoja nimkazie but mmoja
Na muda huu mods wapashkunaku wa kufuta posts hawapo online😶Mbaruku mda sio mrefu chululu za watu zitapostiwa humu, usikae mbali
🤣🤣🤣🤣🤣 sema tuachane na yote bhana nihurumie mimi mtoto wa mwanamke mwenzako nimechoshwa na huu using, isitoshe mimi ni Kijana masikini utapata swawabu ukinikubaliaAnasema nazagaa kwenye huu Uzi😹😹
Wapo sema wao nao wanakua wanapata somo ila kwa ID zao za kawaidaNa muda huu mods wapashkunaku wa kufuta posts hawapo online😶
Poa Poa kiongozi 'kama hupati unachopenda penda unachopata'Usiogope kukataliwa mkuu we tongoza yoyote unaeona anakufit.