Tajiri Sinabay
JF-Expert Member
- Dec 25, 2024
- 1,333
- 3,619
- Thread starter
- #101
Mh na baada ya kutulizaTuliza aikil
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mh na baada ya kutulizaTuliza aikil
Baada ya kumkosa yule pisi kali unaamua kusaga kunguni.Hakuna mademu humu, I'D tu izo wote wanaume.
Chochea ugomvi ndugu Khafidh majinn au we hutaki kuona matusi yakirushwa Kama bombo za Murusi.Mbaruku mda sio mrefu chululu za watu zitapostiwa humu, usikae mbali
mkuu tufundishe jinsi ya kuwapata nyie wadada.Baada ya kumkosa yule pisi kali unaamua kusaga kunguni.
Mambo yetu tuachie wenyewe😌Achia PDF Hilo wahuni tukoleze Moto🐍
Kuna siku jukwaani mada ya mtindo huu huu nlimention mtu kawaida kumbe watu wana yao dadeq walirushiana makombora humo, mi nikawa nasoma kimya hata siku-likeChochea ugomvi ndugu Khafidh majinn au we hutaki kuona matusi yakirushwa Kama bombo za Murusi.
Namwambia Mwashambwa.Mambo yetu tuachie wenyewe😌
Wewe siwezi kukufundisha sababu nidhamu uliyoionyesha humu inakuwezesha kupata pisi hata tatu humu.mkuu tufundishe jinsi ya kuwapata nyie wadada.
Hana madharaNamwambia Mwashambwa.
Au umechoka vitenge vya ccm ?
ThubutuuuUsalama wa Taifa yule.
Ndiyo unipigie ngoma ndogo basi kwa mrembo mmoja basi.Mkuu usizoee zoee Pm
Mim ni mshenga wako tayar
Ila we upo humu tangu 2014 kweli hujadaka hata kamoja ukakimbiza mwenge?Nimecheka kishenzi😂😂
Tatizo limeanzia hapa pc atazisikia tuMulio ni kitu gan?
Mukawapata?
Munajua ?
Mlima korosho kiongozi na nilikimbia umande piaNje ya mada: Wewe ni wa wapi? Kiswahi kinakutatiza kiaina.
Siruki kurasa Kamanda.😂Ila we upo humu tangu 2014 kweli hujadaka hata kamoja ukakimbiza mwenge?
Toa kufuli ilo wazee tutelezeBaada ya kumkosa yule pisi kali unaamua kusaga kunguni.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 dah ila jeyefu 😆😆😆amejisahau uyo ni ME amelog in kwa ID yake ya KE 🤣
Atampata wakufanana nae mkuuTatizo limeanzia hapa pc atazisikia tu
Utauponza! Shauri yakoToa kufuli ilo wazee tuteleze