Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Napinga hilo mkuu😂😂, Kelsea ni pisi 😊Hakuna mademu humu, I'D tu izo wote wanaume.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Napinga hilo mkuu😂😂, Kelsea ni pisi 😊Hakuna mademu humu, I'D tu izo wote wanaume.
Poa kiongoziHakuna cha ajabu, usiogope kukataliwa.
Watakufwata tuMh na baada ya kutuliza
Kesho naaleta simulation inaitwa tukikuwa tutaoana 😊Unaweza kuandika simulizi kama yeye? Kama sio Sitaki.
Kivipi mkuuJf ni mtaani
Title tu haivutiiKesho naaleta simulation inaitwa tukikuwa tutaoana 😊
Kijana ni masikini mpaka kwenye kuandikaMulio ni kitu gan?
Mukawapata?
Munajua ?
una mdomo kama chiriku yaaniUtauponza! Shauri yako
Acha ajichanganye ajuteKuwa makini ndugu usije letewa kidume mwenye ID ya kike ukajaa kwa mwanaume mwenzio.
Toa ushuhuda mwalimu wa lugha🤣🤣Mulio ni kitu gan?
Mukawapata?
Munajua ?
Kuna mtu aliniambia nikiwa jf naongea sana ila nyumbani mkimya kama sio mimi vile🤣una mdomo kama chiriku yaani
Sijui nikazieNapinga hilo mkuu😂😂, Kelsea ni pisi 😊
halafu muongo kama shetaniKuna mtu aliniambia nikiwa jf naongea sana ila nyumbani mkimya kama sio mimi vile🤣
Una kazi za kiserekali kijana 🤣🤣🤣Daaah umenikumbusha
Ngoja nikachat na beby wangu...
Japo yule namuona kabisa ni danga aliyekubuhu ila najitoa ufahamu dadek
Ohoo kwahiyo mpaka niishi humu muda mrefu ili nipate kuzoeana na watu ndiyo naweza nikaokota kabebe! Sawa.Kijana masikini humu wana chichat wengi sio mapenzi nikuzoeana tu wengine wanazoeana mpaka wanakuwa best friends wachache tu ndio wapenzi ila mengi usikream maisha ya humu manaa mengi sio uhasilia
OkeyWatakufwata tu
Mimi humu ni mlevi mmoja siwezi pata mtu asee.Toa ushuhuda mwalimu wa lugha🤣🤣
🤣🤣🤣una mdomo kama chiriku yaani